Chadema ni Chama makini chenye malengo na matarajio ya kushika dola mwaka 2015, hakiwezi hata siku moja kufanya siasa za Ccm, Newala wapo makada wengi Wa chama wenye lengo la kubadilisha Newala na kuleta historia katika taifa zima la Tanzania, Kwa mantiki hii angalieni watu wasilete tafaruku Za...
Wana JF
Naomba mnijuze maana nashindwa kupata jibu sahihi hivi Ni kwa nini tumewachagua wabunge kutuwakilisha bungeni endapo hata kile wanachopaswa kuwatetea waliowapeleka inakuwa ngumu? Hivi hoja Za maana mbona wanaruka viunzi hawataki kiwajibikia wananchi wao? Hata kitu chenye manufaa kwa...
Mi nadhani WEWE akili zako Ni mbovu !!!!!! Full stop. Maana hata vitu vizuri unatoa ushuhuda WA kijinga mpaka unakatisha tamaa kama zimekamilika kichwani
Wewe hatuwezi kukusema sana maana mna tabia Za kujiuwa kule kwenu hatuwezi kutoa rambirambi kwa Kijana Kama wewe, eti kwanini amejiua??? Aaaaah walimsema JF ndio maana, subiri uZeeeke Kama hao wajomba zako kwenye picha uliyoiweka then unaweza kisemwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.