Siasa za majitaka CHADEMA tuziache

Siasa za majitaka CHADEMA tuziache

Status
Not open for further replies.
ZeMarcopolo
Mkuu naona wanachadema wanatafuta mchawi wakati wao ndio wahusika wakubwa wa kuleta matusi JF kama hawakumbuki na wajaribu kufuatilia kwa karibu; kikosi chao kilikuwa chini ya kamanda Precise pangolin;sisi tulijibu mapigo kuweka hali sawa baada ya mods kuruhusu upande mmoja kuvunja amani; huyu Mtu wa Shamba na Dr.A Paurine ni wale wale wanabadili majina kutuzuga wao ndio watusi wakubwa na waasisi wa siasa za maji taka; wanaccm tupo kutetea sera zetu matusi tunajifunza kutoka kwao.
Chama
Gongo la mboto DSM

Sera gani unatetea kama si unafiki tu mnaoleta humu? Wanaotetea sera ni wewe na hao wenzako uliowataja wote
Wewe ni mkamata mapembe tu wanaokunywa maziwa wapo wala usijipe matumaini kwamba unatetea sera ni sera zipi unazozielewa? Acheni majungu mchana kutwa mnashinda kwenye laptop ili mpewe posho labda mnatetea sera za kuua watu na kuwang'oa kucha na meno na ufisadi
 
Last edited by a moderator:
Naona Paurine unataka kuuchafua huu uzi ambao umeenda vizuri na kuwa very productive so far.

It is clear kwamba ulimtukana Chris na kama hilo unashindwa kuomba radhi basi angalau uache kuzungumzia kuliko unavyosisitiza kuwa "ulisema ukweli". Ule uzi uliuanzisha mwenyewe baadae ukaukimbia.

Kama uko serious na kufanya siasa safi za kujadili hoja basi uwe tayari pia kuwakumbusha vijana wa bavicha kuwa kumtukana Rais wa nchi sio jambo sahihi. Mbowe anamheshimu rais wa nchi na hamtolei kauli za dharau, Zitto anamheshimu Rais na hawezi kumtolea kauli za dharau lakini vijana wa bavicha wanatoa kauli za dharau kwa Rais. Kama hilo kwako sio tatizo basi ni lazima ujiandae kusikiliza viongopzi wengine wanaochochea kauli hizo za dharau wakikutana na kauli zinazofanana na hizo. narudia kuwa hili sio jambo lakujivunia lakini ndio njia pekee iliyobaki ya kuwajulisha vijana wa bavicha kuwa wakubwa wanapaswa kuheshimiwa na kwamba mkubwa anayefundisha dharau hudharauriwa.

Ukurasa wa swala la Chris Lukosi lilishafungwa muda sasa, Chris si adui yangu hata kidogo and as a matter of fact tumetoka kuongea muda si mrefu. Chris ni mtu mwema leo zaidi ya jana na juzi na ni ninampongeza kwa wepesi wake wa kuelewa na kujifunza..sasa tusonge mbele na mengineyo.

Kuhusu kutukana viongozi na watu kwa ujumla si jambo jema na linapaswa kukemewa kwa nguvu zote...na wote wanaofanya hivyo waelimishwe. Hali kadhalika si jambo jema kwa viongozi kutumia lugha ya matusi...haya yote tuyakemee kwa kadri tuwezavyo. Hii notion ya vijana wa bavicha kutukana hapa JF siielewi vizuri, ni hisia tu ama wanajitambulisha kabla ya kutukana? nauliza hivi kwa nia njema...
 
The choice is yours. This is self-asserting.

Haya ni mawazo yangu katika mtazamo unaotaka kuweka mbele yetu.

Hii dhana yako ya kutumia pre-emptive defence and strike pale unapokumbana na hoja za msingi haiwezi kukusaidia katika siasa za Tanzania.

Kwa mtu ambaye hana fikra pevu anaweza akaingia mkenge kwenye mabandiko yako. You play as victim wakati huo huo ukirusha makombora ya matusi na kejeri.

Kwani mkuu hatukufahamu!!.

Kiongozi naomba niwe mkweli na muwazi kwako, tunaishi ktk nchi ya dunia ya kwanza na tumebahatika kuwa na uelewa wa kutosha ktk technologia ya kisasa yaani IT na hata kama hatuna utaalam wa kutosha jirani yetu anaweza sana kutusaidia, na kama hiyo haiwezekani basi work colleague atasaidia...sasa basi ni imani yangu sina adui UK hii aliyejidhihiri kuwa na chuki binafsi na mimi binafsi kama inavyoonekana kuwa kwako. Imekuwa ni muda sasa kila ukipata nafasi ya kunikosea heshima kwa maksudi na kwa kupindisha unafanya hivyo...naomba nisitumie muda wangu kufuatilia wewe ni nani unayenichukia na kwa sababu gani unanichukia please. Ninamarafiki wachache sana ndugu yangu...hebu tuishi kwa amani na upendo.
 
Sera gani unatetea kama si unafiki tu mnaoleta humu? Wanaotetea sera ni wewe na hao wenzako uliowataja wote
Wewe ni mkamata mapembe tu wanaokunywa maziwa wapo wala usijipe matumaini kwamba unatetea sera ni sera zipi unazozielewa? Acheni majungu mchana kutwa mnashinda kwenye laptop ili mpewe posho labda mnatetea sera za kuua watu na kuwang'oa kucha na meno na ufisadi
Kamanda njaa itakuua umeejigeuza msekule? Kiongozi wako Lwakatare ndiye mpangaji mkubwa wa kudhuru binadamu wenzake; mimi natetea sera silipwi wala sitegemei fadhila za CCM kuendesha maisha yangu; ni mtu huru; jifunzeni kitu kimoja siasa sio uadui; sitayumbishwa hata siku moja na kejeli au vitisho vy wanasiasa wa bavicha nipo hapa kuitetea CCM na hata kuikosoa kama ikibidi; mkileta sera tutawajibu kwa sera; mkileta matusi tutawajibu kwa lugha inayowastahili; nyie ambao mpo JF kumuabudu mtu ndio mnaosababisha mijadala mingi kuharibika kwa sababu ya kukosa heshima tutajitahidi kadri ya uwezo wetu kuwafundisha heshima ili mjue siasa ni kitu gani na CCM haijijengi kwa kuabudu mungu mtu ni chama chenye utawala wa misingi ya kisheria
Chama
Gongo la mboto DSM
 
Dr A. Paurine
Nadhani bado hujapata nafasi kupitia mijadala mingi JF; nina uhakika siku zinavokwenda utapata majibu ya nani waasisi na waendelezaji wa siasa za maji taka; matusi na vitisho ni sehemu ya siasa za Bavicha; wengi wao humu JF hawajui siasa ni watu waliojazwa hamaki ukiwabana maswali utakachoambulia ni tusi au kejeli; si vibaya kama utatumia taaluma yako kuwaelemisha vijana na baadhhi ya viongozi wako siasa za uadui na kupandikiza chuki hazina mshiko na wala hazitapata nafasi kwenye taifa letu
Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Dr A. Paurine
Nadhani bado hujapata nafasi kupitia mijadala mingi JF; nina uhakika siku zinavokwenda utapata majibu ya nani waasisi na waendelezaji wa siasa za maji taka; matusi na vitisho ni sehemu ya siasa za Bavicha; wengi wao humu JF hawajui siasa ni watu waliojazwa hamaki ukiwabana maswali utakachoambulia ni tusi au kejeli; si vibaya kama utatumia taaluma yako kuwaelemisha vijana na baadhhi ya viongozi wako siasa za uadui na kupandikiza chuki hazina mshiko na wala hazitapata nafasi kwenye taifa letu
Chama
Gongo la mboto DSM

Ni kweli sijapitia mijadala mingi lakini michache niliyopitia ni dhahiri kuna tatizo. Ila kwa kuwa ni mgeni hapa JF ni vigumu sana kujua kama ni bavicha au lha. Maana ninachokiona hapa hata mkeo anaweza akakutukana halafu akakwambia "nilikwambia uache siasa utatukanwa sasa ona" Ninaamini maendeleo yoyote duniani yanaanzia kwenye fikra na basi mimi na wewe tuanze na ukombozi huu wa fikra...Tujifunze kukubali ukweli, tujifunze kurekebishwa, tujifunze kukubali kutofautiana, tujifunze namna ya kukemea na kukemewa. Tuondoe dhana ya mimi na tuwe na dhana ya sisi...Maendeleo ya kweli ya taifa kwa ujumla tunayoyalilia mimi na wewe hatutayafurahia bali watoto wetu. Kazi yetu iwe ni kujenga msingi na isijalishe unaujenga ukiwa na itikadi ipi...tujifunze kwa nchi zilizoendelea maana watu wake wanapigia kura sera na utekelezaji na si chama...in short ukombozi huu inabidi tuuanzishe hapa na kwingineko mitandahoni nk.
 
Dr A. Paurine
Wanaccm hatuna wasiwasi kudumisha amani ni moja ya sera za serikali yake; tatizo ni wanasiasa walioamua kujigeuza miungu watu na wapo tayari kufanya lolote ili mradi tu wafanikishe malengo yao kisiasa; wanachofanya ni kutumia uduni wa fikra wa baadhi ya vijana; ila wanaccm tupo tayari kutetea misingi yetu ambayo ni kumuendeleza mtanzania; tutailinda amani yetu kwa gharama yoyote ile; hicho ndicho ninachoamini; fuatilia ziara ya viongozi wetu Morogoro hutasikia kauliwa mtu au risasi zimerushwa timu ya viongozi inamwaga sera; lakini jamaa zako wanachojua ni kujaza watu hamasa na matokeo yake imekuwa ni uvunjaji wa amani.
Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Dr A. Paurine
Wanaccm hatuna wasiwasi kudumisha amani ni moja ya sera za serikali yake; tatizo ni wanasiasa walioamua kujigeuza miungu watu na wapo tayari kufanya lolote ili mradi tu wafanikishe malengo yao kisiasa; wanachofanya ni kutumia uduni wa fikra wa baadhi ya vijana; ila wanaccm tupo tayari kutetea misingi yetu ambayo ni kumuendeleza mtanzania; tutailinda amani yetu kwa gharama yoyote ile; hicho ndicho ninachoamini; fuatilia ziara ya viongozi wetu Morogoro hutasikia kauliwa mtu au risasi zimerushwa timu ya viongozi inamwaga sera; lakini jamaa zako wanachojua ni kujaza watu hamasa na matokeo yake imekuwa ni uvunjaji wa amani.
Chama
Gongo la mboto DSM

Paragraph yako ni fupi lakini ina maneno mazito sana. Amani ipi? nakumbuka kabla sijatoka nje niliamini kwamba nchi yangu ni nchi ya amani sana. Nilivyo ishi nje ndo sasa naelewa maana ya amani ni nini. Tanzania kama nchi inahesabika kama nchi yenye utulivu lakini watu wake hawana amani hata kidogo nikimaanisha walionacho na wasio nacho. Mtu anayelala njaa ana amani, mtoto anayelala mtaani hana amani, ombaomba hana amani, mkulima haa amani mfugaji and so on. Matajiri wenye nacho ndo kabisa wakiwa kwenye magari vioo mpaka juu, magates nyumbani, walinzi na bunduki mchana kutwa majumbani, ubakaji uvunjifu wa haki za binadamu kila kona. Wnanya nao hawana amani, misitu inachomwa, wanauliwa hovyo kinyume cha sheria nk. Makazini ndo shida kabisa wengi hawana uhakika na kesho. Ukisingiziwa kibaka raia ni kama ruksa kukuua, ukikimbilia polisi na afadhali ya uraiani. Ukienda mahospitalini ndo amani imetoweka...daktari akiua ni kazi ya mungu....ndugu yangu hatuna amani kabisa ni maneno tu ya kutufurahisha. Kwa wenzetu ukisikia amani ni amani kweli kweli kiasi kwamba mtu akikuvyonza polisi watasaidia kama wakihitajika, mbwa panya nk nao wanapatiwa huduma ya ambulance. nyumba unasahau mlango na kurudi kesho yako unakutakila kitu kiko vile vile. Ofcoz kuna vi-pockets vidogovidogo vya uvunjifu wa amani lakini vinakuwa addressed effectively.

Kuhusu viongozi wenu Morogoro, ni kweli hakuna vurugu wala uvunjifu wa amani kwa sababu wanalindwa na vyombo vya dola...Kuhusu sera kweli wana sera lakini wamekuwa na sera hizo kwa muda wote wa utawala na maisha ya mtanzania yanarudi nyuma ktk kila sekta, elimu, afya, utamaduni, uchumi(time bomb), mahusiano ya ndani nk. Kuna sababu za msingi za kuibadili system iliyopo na hili litawezekana nje ya utawala wa sasa. "Tatizo haliwezi kutatuliwa na uwezo wa kuwaza ule ule uliolitengezeza" na matatizo ya Tanzania kwa imani yangu yametengenezwa na chama tawala...
 
Dr A. Paurine
Wanaccm hatuna wasiwasi kudumisha amani ni moja ya sera za serikali yake; tatizo ni wanasiasa walioamua kujigeuza miungu watu na wapo tayari kufanya lolote ili mradi tu wafanikishe malengo yao kisiasa; wanachofanya ni kutumia uduni wa fikra wa baadhi ya vijana; ila wanaccm tupo tayari kutetea misingi yetu ambayo ni kumuendeleza mtanzania; tutailinda amani yetu kwa gharama yoyote ile; hicho ndicho ninachoamini; fuatilia ziara ya viongozi wetu Morogoro hutasikia kauliwa mtu au risasi zimerushwa timu ya viongozi inamwaga sera; lakini jamaa zako wanachojua ni kujaza watu hamasa na matokeo yake imekuwa ni uvunjaji wa amani.
Chama
Gongo la mboto DSM

Paragraph yako ni fupi lakini ina maneno mazito sana. Amani ipi? nakumbuka kabla sijatoka nje niliamini kwamba nchi yangu ni nchi ya amani sana. Nilivyo ishi nje ndo sasa naelewa maana ya amani ni nini. Tanzania kama nchi inahesabika kama nchi yenye utulivu lakini watu wake hawana amani hata kidogo nikimaanisha walionacho na wasio nacho. Mtu anayelala njaa hana amani, mtoto anayelala mtaani hana amani, ombaomba hana amani, mkulima hana amani, mfugaji and so on. Matajiri wenye nacho ndo kabisa wakiwa kwenye magari vioo mpaka juu, ma-gates nyumbani, walinzi na bunduki mchana kutwa majumbani, ubakaji uvunjifu wa haki za binadamu kila kona. Wanyama nao hawana amani, misitu inachomwa, wanauliwa hovyo kinyume cha sheria nk. Makazini ndo shida kabisa wengi hawana uhakika na kesho, sumu utalishwa ukipiga kelele, siasa ndo basi nisiseme maana ni kazi kweli kweli.

Zaidi Ukisingiziwa kibaka raia ni kama ruksa kukuua, ukikimbilia polisi ni afadhali ya uraiani. Ukienda jela nasikia ni jela kweli kweli. Ukienda mahospitalini ndo amani imetoweka...daktari akiua ni kazi ya mungu....ndugu yangu hatuna amani kabisa ni maneno tu ya kutufurahisha. Kwa wenzetu ukisikia amani ni amani kweli kweli kiasi kwamba mtu akikuvyonza polisi watasaidia kama wakihitajika, mbwa panya nk nao wanapatiwa huduma ya ambulance. nyumba unasahau mlango na kurudi kesho yako unakutakila kitu kiko vile vile. Ofcoz kuna vi-pockets vidogovidogo vya uvunjifu wa amani lakini vinakuwa addressed effectively.

Kuhusu viongozi wenu Morogoro, ni kweli hakuna vurugu wala uvunjifu wa amani kwa sababu wanalindwa na vyombo vya dola...Kuhusu sera kweli wana sera lakini wamekuwa na sera hizo kwa muda wote wa utawala na maisha ya mtanzania yanarudi nyuma ktk kila sekta, elimu, afya, utamaduni, uchumi(time bomb), mahusiano ya ndani nk. Kuna sababu za msingi za kuibadili system iliyopo na hili litawezekana nje ya utawala wa sasa. "Tatizo haliwezi kutatuliwa na uwezo wa kuwaza ule ule uliolitengezeza" na matatizo ya Tanzania kwa imani yangu yametengenezwa na chama tawala...
 
Paragraph yako ni fupi lakini ina maneno mazito sana. Amani ipi? nakumbuka kabla sijatoka nje niliamini kwamba nchi yangu ni nchi ya amani sana. Nilivyo ishi nje ndo sasa naelewa maana ya amani ni nini. Tanzania kama nchi inahesabika kama nchi yenye utulivu lakini watu wake hawana amani hata kidogo nikimaanisha walionacho na wasio nacho. Mtu anayelala njaa hana amani, mtoto anayelala mtaani hana amani, ombaomba hana amani, mkulima hana amani, mfugaji and so on. Matajiri wenye nacho ndo kabisa wakiwa kwenye magari vioo mpaka juu, ma-gates nyumbani, walinzi na bunduki mchana kutwa majumbani, ubakaji uvunjifu wa haki za binadamu kila kona. Wanyama nao hawana amani, misitu inachomwa, wanauliwa hovyo kinyume cha sheria nk. Makazini ndo shida kabisa wengi hawana uhakika na kesho, sumu utalishwa ukipiga kelele, siasa ndo basi nisiseme maana ni kazi kweli kweli.

Zaidi Ukisingiziwa kibaka raia ni kama ruksa kukuua, ukikimbilia polisi ni afadhali ya uraiani. Ukienda jela nasikia ni jela kweli kweli. Ukienda mahospitalini ndo amani imetoweka...daktari akiua ni kazi ya mungu....ndugu yangu hatuna amani kabisa ni maneno tu ya kutufurahisha. Kwa wenzetu ukisikia amani ni amani kweli kweli kiasi kwamba mtu akikuvyonza polisi watasaidia kama wakihitajika, mbwa panya nk nao wanapatiwa huduma ya ambulance. nyumba unasahau mlango na kurudi kesho yako unakutakila kitu kiko vile vile. Ofcoz kuna vi-pockets vidogovidogo vya uvunjifu wa amani lakini vinakuwa addressed effectively.

Kuhusu viongozi wenu Morogoro, ni kweli hakuna vurugu wala uvunjifu wa amani kwa sababu wanalindwa na vyombo vya dola...Kuhusu sera kweli wana sera lakini wamekuwa na sera hizo kwa muda wote wa utawala na maisha ya mtanzania yanarudi nyuma ktk kila sekta, elimu, afya, utamaduni, uchumi(time bomb), mahusiano ya ndani nk. Kuna sababu za msingi za kuibadili system iliyopo na hili litawezekana nje ya utawala wa sasa. "Tatizo haliwezi kutatuliwa na uwezo wa kuwaza ule ule uliolitengezeza" na matatizo ya Tanzania kwa imani yangu yametengenezwa na chama tawala...
Kuhusu jela kamuulize Lwakatare atakupa stori au lema nasikia kaishaenda huko mala kadhaa
 
Kiongozi naomba niwe mkweli na muwazi kwako, tunaishi ktk nchi ya dunia ya kwanza na tumebahatika kuwa na uelewa wa kutosha ktk technologia ya kisasa yaani IT na hata kama hatuna utaalam wa kutosha jirani yetu anaweza sana kutusaidia, na kama hiyo haiwezekani basi work colleague atasaidia...sasa basi ni imani yangu sina adui UK hii aliyejidhihiri kuwa na chuki binafsi na mimi binafsi kama inavyoonekana kuwa kwako. Imekuwa ni muda sasa kila ukipata nafasi ya kunikosea heshima kwa maksudi na kwa kupindisha unafanya hivyo...naomba nisitumie muda wangu kufuatilia wewe ni nani unayenichukia na kwa sababu gani unanichukia please. Ninamarafiki wachache sana ndugu yangu...hebu tuishi kwa amani na upendo.
Dr adui unae na adui yako ni Chadema
Chadema inakutafuna taratibu Dr,
Chadema inakufanya ujisahau kuwa wewe ni msomi uliebobea katika umri mdogo sana
Chadema inakufanya uwe hauna tofauti na misukule mingine tuliyonayo hapa
Chadema inakufanya usahau hata majukumu yako ya kila siku ubaki unasubiri 2015
Chadema ni kama mchezo wa karata tatu ukiisha ingia utaliwa na utaendelea kuliwa hela zako ukiamini kuwa ifikapo 2015 zitarudi
Chadema ni kama ngoma ya mdundiko ambayo watu hujiunga na kufuata midundo bila kujua inaelekea wapi
Chadema NI JANGA LA TAIFA!
 
Kiongozi naomba niwe mkweli na muwazi kwako, tunaishi ktk nchi ya dunia ya kwanza na tumebahatika kuwa na uelewa wa kutosha ktk technologia ya kisasa yaani IT na hata kama hatuna utaalam wa kutosha jirani yetu anaweza sana kutusaidia, na kama hiyo haiwezekani basi work colleague atasaidia...sasa basi ni imani yangu sina adui UK hii aliyejidhihiri kuwa na chuki binafsi na mimi binafsi kama inavyoonekana kuwa kwako. Imekuwa ni muda sasa kila ukipata nafasi ya kunikosea heshima kwa maksudi na kwa kupindisha unafanya hivyo...naomba nisitumie muda wangu kufuatilia wewe ni nani unayenichukia na kwa sababu gani unanichukia please. Ninamarafiki wachache sana ndugu yangu...hebu tuishi kwa amani na upendo.
Mkuu, mimi sikuchukii hata kidogo. Sikupenda bandiko lako kuhusiana na Chris ukichukulia jinsi alivyokuwa anakuheshimu si kama rafiki tu bali pia kama mtanzania aliyeko ughaibuni.

Kwa sisi tunaoishi kwenye nchi hizi zilzopiga hatua katika uendeshaji wa siasa lazima maneno na matendo yetu yafanane na kile tunachokiishi.

Siasa hatukuzianza sisi na pia tutaziacha lakini urafiki na undugu utabaki.

Hatuwezi tukaendelea kuishi kwenye uhasimu ulijitokeza ndani ya wanajumuiya UK baada ya Chris kuanzisha M4C, lazima tuone kama kutofautiana kimtazamo na kiitikadi ni njia mojawapo ya ujenzi katika jamii.

Amani, upendo na mshikamano ni ngao katika kukabiliana na changamoto za kimaisha.
 
Thanks a lot Mkuu for your truthful. I hope ZeMarcopolo will take into consideration your good advice.

Haya mkuu.
Jua kuwa, I was your fan, but you are losing me.

And I am sure you are losing many more, because your end does not justify the means you are using.

You are far better than that brother
.
 
Last edited by a moderator:
Dr A. Paurine
Sasa unajidhihirisha wazi ni jinsi gani ulivyogubikwa na wingu la uchadema; upo tayari kupotosha ukweli; watanzania tupo kwenye amani; pamoja na matatizo yetu ya kiuchumi bado watanzania wengi wana nafasi ya kujiajiri kwenye kilimo na kujipatia vipato halali na kupata amani ya moyo. Serikali ya CCM imeweka kipau mbele kuhahakikisha watanzania wanajiajiri kwenye kilimo; serikali haiwezi kuwalimisha wale ambao kwa makusudi wamekimbia vijijini na kuacha shughuli za kilimo kwa kudhani mjini ndio kwenye neema zote; homeless wa Tanzania ni wa kujitakia; nadhani ulichokiandika umeandika bila kufanya utafiti au umeamua kuwa mpotoshaji badala ya kuwa muelimishaji; kama unataka tukupe darasa la matatizo ya kiuchumi tuliyokuwa nayo na nini kifanyike kupunguza athari sema tukufundishe bahati nzuri ni moja ya moja ya eneo ninalolimudu na nimetembea sehemu nyingi na nina uwezo wa kulinganisha matatizo ya nchi za Afrika; narudia tena usipotoshe watu Tanzania tuna amani kubwa sana na watanzania wana nafasi kubwa sana kujikwamua kimaisha
Turudi kwenye ziara yetu Morogoro
Kuna tofauti kubwa sana ya speech ikitolewa na politician na activist; viongozi wa CCM ni wanasiasa wanamwaga sera na kusikiliza kero na kujadiliana na wananchi kwenye mada husika na ndio sababu mikutano yao inatawaliwa na amani hiyo ndiyo siri kubwa; kwa Chadema ni tofauti viongozi wao wamegeuka activists wanachojua ni kuhubiri na kuwajaza watu hisia kali kwa kutumia uwongo wa kila aina na hicho ndio kimekuwa ndio kiini cha uvunjaji wa amani; mikutano mingi ya Chadema baada ya kumalizika kinachofuatia ni uvunjaji wa amani wa makusudi. Mkuu usiidhalilishe taaluma yako kwa kuongea vitu ambavyo huna uhakika navyo.
Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Dr A. Paurine
Sasa unajidhihirisha wazi ni jinsi gani ulivyogubikwa na wingu la uchadema; upo tayari kupotosha ukweli; watanzania tupo kwenye amani; pamoja na matatizo yetu ya kiuchumi bado watanzania wengi wana nafasi ya kujiajiri kwenye kilimo na kujipatia vipato halali na kupata amani ya moyo. Serikali ya CCM imeweka kipau mbele kuhahakikisha watanzania wanajiajiri kwenye kilimo; serikali haiwezi kuwalimisha wale ambao kwa makusudi wamekimbia vijijini na kuacha shughuli za kilimo kwa kudhani mjini ndio kwenye neema zote; homeless wa Tanzania ni wa kujitakia; nadhani ulichokiandika umeandika bila kufanya utafiti au umeamua kuwa mpotoshaji badala ya kuwa muelimishaji; kama unataka tukupe darasa la matatizo ya kiuchumi tuliyokuwa nayo na nini kifanyike kupunguza athari sema tukufundishe bahati nzuri ni moja ya moja ya eneo ninalolimudu na nimetembea sehemu nyingi na nina uwezo wa kulinganisha matatizo ya nchi za Afrika; narudia tena usipotoshe watu Tanzania tuna amani kubwa sana na watanzania wana nafasi kubwa sana kujikwamua kimaisha
Turudi kwenye ziara yetu Morogoro
Kuna tofauti kubwa sana ya speech ikitolewa na politician na activist; viongozi wa CCM ni wanasiasa wanamwaga sera na kusikiliza kero na kujadiliana na wananchi kwenye mada husika na ndio sababu mikutano yao inatawaliwa na amani hiyo ndiyo siri kubwa; kwa Chadema ni tofauti viongozi wao wamegeuka activists wanachojua ni kuhubiri na kuwajaza watu hisia kali kwa kutumia uwongo wa kila aina na hicho ndio kimekuwa ndio kiini cha uvunjaji wa amani; mikutano mingi ya Chadema baada ya kumalizika kinachofuatia ni uvunjaji wa amani wa makusudi. Mkuu usiidhalilishe taaluma yako kwa kuongea vitu ambavyo huna uhakika navyo.
Chama
Gongo la mboto DSM
Chama,
Kama Dr Paulina hajakuelewa basi atakuwa ameisha kuwa brainwashed .
Uliyoandika ni sawa kabisa. Viongozi wa chadema wameamua kufanya kampeni ya kuwapandikiza ujinga watanzania kwa kutoa kila ahadi za uongfo kiasi kwamba wamewaharibu akili vijana wengi akiwemo Dr Alex kwa kuwaambia kuwa Chadema ikichukua nchi watashika nafasi kubwa sana serikalini.
Nakumbuka siku ile Lema aliponiuliza kama ningependa kuwa balozi wa Tanzania Uk, Unaibu waziri au ukuu wa mkoa, nikamwambia mimi sitafuti cheo kama ni maisha mazuri tayari ninayo ninachotaka ni kuetetea haki za wananchi. The same niliambiwa na Dr mkubwa
 
Chilisosi
Ulichosema kinaeleweka; wapo wengi tu humu JF wamehaidiwa vijivyeo wengine ni waganga njaa wakubwa siasa hawajui wamebaki kutoa vitisho; Dr A. Paurine sijui kaahaidiwa kitu gani hadi anajidhalilisha kwa kusema uwongo ila akae akijua kuielewa siasa ya Tanzania huitaji Ph. D; sisi tupo kutetea sera hatutetei mtu.
Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Chilisosi
Ulichosema kinaeleweka; wapo wengi tu humu JF wamehaidiwa vijivyeo wengine ni waganga njaa wakubwa siasa hawajui wamebaki kutoa vitisho; Dr A. Paurine sijui kaahaidiwa kitu gani hadi anajidhalilisha kwa kusema uwongo ila akae akijua kuielewa siasa ya Tanzania huitaji Ph. D; sisi tupo kutetea sera hatutetei mtu.
Chama
Gongo la mboto DSM
Jamaa kasema ataenda karagwe kugombea ubunge na akipita atakuwa waziri.
Ameisha nunua spika mbili za watts 80 kila moja tayari kwa kampeni za 2015
 
Mkuu, mimi sikuchukii hata kidogo. Sikupenda bandiko lako kuhusiana na Chris ukichukulia jinsi alivyokuwa anakuheshimu si kama rafiki tu bali pia kama mtanzania aliyeko ughaibuni.

Kwa sisi tunaoishi kwenye nchi hizi zilzopiga hatua katika uendeshaji wa siasa lazima maneno na matendo yetu yafanane na kile tunachokiishi.

Siasa hatukuzianza sisi na pia tutaziacha lakini urafiki na undugu utabaki.

Hatuwezi tukaendelea kuishi kwenye uhasimu ulijitokeza ndani ya wanajumuiya UK baada ya Chris kuanzisha M4C, lazima tuone kama kutofautiana kimtazamo na kiitikadi ni njia mojawapo ya ujenzi katika jamii.

Amani, upendo na mshikamano ni ngao katika kukabiliana na changamoto za kimaisha.
Mkuu sidhani kama Alex na makamanda wengine wanaweza kuelewa hili.
Hawa watu ukihama chama wanakuona kama muuaji vile.
Huwezi kuamini kuna mibaba mizima na familia zao wanakesha kumtumia Lukosi text message kila siku za matusi kisa kahama chadema. Siku Alex alipoandika matusi dhidi ya lukosi hapa nilishtuka sana kwani sikuamini msomi kama yeye anaweza kuandika maneno ambayo tumezoea kuyasoma kutoka kwa walevi wa viroba.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom