John Mnyika: Pinda ni muongo

John Mnyika: Pinda ni muongo

Ni pale alipokuwa anasoma majumuisho ya bajeti ya wizara ya ofisi ya Waziri mkuu. Amedai kwamba Chadema hawakushiriki kwenye moja ya vipengere kama ilivyotakiwa kwa vyama vya siasa kwenye kutoa maoni ya katiba mpya.Mh. Mnyika amesimama na kueleza wazi kwamba amedanya na kuomba mwongozo wa spika ambapo binti Kiroboto amekinga kifua kwamba watatoa maamuzi ya mwongozo wake kesho.
Kama umefuatilia vizuri mwanasheria mkuu wa serikali ameyeyusha hoja ya Mnyika alipokuwa akimjibu Mbowe aliposisitiza azima ya Chadema kujitoa katika mchakato wa katiba
 
Wajinga waongo sasa hivi mary nagu hajui hata wizara eti anasema wizara ya kazi vijana na maendeleo ya michezo what a heck waziri hajui wizara
 
Tusipoteze sana muda kujadili tatizo lililopo Tanzania kutonana na PM efficiecy...tujadili kuijenga nchi yetu kwa vyovyote vile pasipo wazo lolote toka 'magambani'...!

Pinda + Workdone = Zero + wastage!
 
Pinda kweli uwezo wake wa kuongoza ni mdogo sana!kuna mbunge mmoja wa viti maalum huko kusini kahoji kuwa Pinda amesahau hoja zao zote na kujikita kujibu hoja za chadema hususan mbowe.Pia ktk kamati ya matumizi naona kama chadema wamezira kuhoji lolote ktk kupitisha mafungu hayo.

Agreed....tuna tatizo kubwa mno kitaifa na kiuongozi, the crisis is just pyramidal....starting from the pick...
 
Hivi kwa mbunge kama mnyika unategemea atakuja na hoja nzuri zaidi ya manung'uniko? Toka kikao cha bajeti kimeanza hajachangia hata kidogo
 
Hivi kwa mbunge kama mnyika unategemea atakuja na hoja nzuri zaidi ya manung'uniko? Toka kikao cha bajeti kimeanza hajachangia hata kidogo
Kwani waziri Chikawe amejibu vipi hivi wewe una akili kweli?
 
Siku JK na Pinda wakifa nitafanya sherehe kubwa sana kufurahia!
 
Kuna uhusiano wowote kati ya Punda na Pinda? Ni matumizi ya falsafa ya lugha tu (Nkamia)
 
Back
Top Bottom