Recent content by Yato

  1. Y

    Habari wana jamiiforum

    Kuna application au
  2. Y

    Ufafanuzi wa kutumbuliwa Dr. Mwele na kuhusishwa na Waziri Ummy

    Kwani Yeye ndo kwanza anaanza kazi? Kwani hakugundua ugonjwa na kueleza uwongo? Kama ugonjwa upo upo tu kwani taarifa kutuma WHO ndo utaondoa ugonjwa? Acheni kutufanya wa tz atujui kitu na wewe, Yeye alitoa majibu sahihi ya utafiti. Na si vinginevyo
  3. Y

    Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

    Vipi naweza ku-roote techno c9
  4. Y

    Game gani zuri la mpira kwenye smartphone

    Game hilo lipo kwenye play store
  5. Y

    Mnakumbuka Matangazo ya zamani ya Radio na ITV yalivyokuwa na mvuto!?

    Tangazo la rangi : bwana Moses nimepata mpangaji atakae nilipa kodi ya nyumba yangu hivi lazima uondoke Aaaaa hapana mzee nimepaka nyumba hivi karibuni naiomba nikae mpaka itakapo haribika Aaaaa haiwezi kuwa taabu hiki ni kipindi cha joto alafu maska baade hii rangi lazima itaharibika...
  6. Y

    Matangazo ya kwenye app

    I Naitwa je
  7. Y

    Matangazo ya kwenye app

    Mi naomba msaada wa kutoa Matangazo kwenye app niliyo install kwenye simu yangu natumia tecno c9 yaani mfano nimedownload AVG AntiVirus basi unakuta kunapicha za video wadada wanchezea simu zao wapo uchi basi napatwa na hasira Sana kwani simu yangu siwezi kumpa mtoto acheze game, naumia...
  8. Y

    Msaada kuhusu App ya thl

    Hiyo App ya thl ipo kwenye Google.Play?
  9. Y

    Mke wangu anajamba jamba sana mpaka najiuliza kulikoni

    Kama unashindwa kuvumilia suala hilo je mkeo siku akaumwa na kuoza kiungo chake na kikawa kinatoa harafu mbaya si utaama nyumba na kuiacha Familia wewe!!!?
Back
Top Bottom