Kwani Yeye ndo kwanza anaanza kazi? Kwani hakugundua ugonjwa na kueleza uwongo? Kama ugonjwa upo upo tu kwani taarifa kutuma WHO ndo utaondoa ugonjwa? Acheni kutufanya wa tz atujui kitu na wewe, Yeye alitoa majibu sahihi ya utafiti. Na si vinginevyo
Tangazo la rangi : bwana Moses nimepata mpangaji atakae nilipa kodi ya nyumba yangu hivi lazima uondoke
Aaaaa hapana mzee nimepaka nyumba hivi karibuni naiomba nikae mpaka itakapo haribika Aaaaa haiwezi kuwa taabu hiki ni kipindi cha joto alafu maska baade hii rangi lazima itaharibika...
Mi naomba msaada wa kutoa Matangazo kwenye app niliyo install kwenye simu yangu natumia tecno c9 yaani mfano nimedownload AVG AntiVirus basi unakuta kunapicha za video wadada wanchezea simu zao wapo uchi basi napatwa na hasira Sana kwani simu yangu siwezi kumpa mtoto acheze game, naumia...
Kama unashindwa
kuvumilia suala hilo je mkeo siku akaumwa na kuoza kiungo chake na kikawa kinatoa harafu mbaya si utaama nyumba na kuiacha Familia wewe!!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.