Mke wangu anajamba jamba sana mpaka najiuliza kulikoni

kwa hyo ulimpekenyua mkeo.mwache ajambe aisee kujamba ni afya ukiona kero wenga gunzi
 
We utakuwa mvulana bado siri za ndani unaziweka hadharani,shame on u
Sasa ndugu na wewe unashida inamana utajifungia ndani na tatizo ambalo hujui suluhu yake?tatizo usilo lijua suluhu huwa ni kulificha na kutolisema eti kisa ni la ndan ya ndoa hata kama lina umiza?unaweka siri kwa jambo ambalo unahitaji kupata ufumbuzi! Sasa huo ufumbuzi utaoteshwa ndotoni bila kushirikisha jamii ili ikupe uzoefu? Watu wengi wamesaidiwa hapa kwa kuwa wawazi juu ya yale yanayo watatiza .

Tena si bora hapa anaeleza kwa fake ID ambayo hakuna mtu anaye mfahamu kuliko huko kwa Dr. Ambaye atamwona yeye tena pamoja na mke wake ? Tena na ma Dr wetu hawa wa kisasa hawana hata siri.Kwa kuanzia kutafuta suluhu ya tatizo lake ni sawa tu kuanzia hapa ilimradi hakuna anaye mfaham yeye achilia mbali mke wake.then ,mawazo ya hapa yasipo saidia then ndio unaenda stage zaid sababu pamoja na kwamba kuna wengine humu hawajui kushauri zaid ya kejeli na kebehi lakin pia wapo washauri wazuri na ushauri wao huzaa matunda.
 
Kama unashindwa
kuvumilia suala hilo je mkeo siku akaumwa na kuoza kiungo chake na kikawa kinatoa harafu mbaya si utaama nyumba na kuiacha Familia wewe!!!?
 
huyo.n
mkeo utakiwi.kuweka.madhaifu yk humu;.mvumilie.hy n.mkeo kwn.kujamba.n.zamb.ww ujambag?mueleze.t.anapojisikia.hy.asogee.mahal.pngne.ajipe.raha.mana.mwl.unarelax.kutoa.hizo.gesi.kk.nomo.take.easily.nomo.situation.hy
 
Kuna baadhi ya vyakula vinasababisha gesi tumboni kama vile maharage lakini wengine wenye tatizo la mzio wa maziwa (lactose intolerance) wakinywa maziwa pia huchangia gesi kujaa na hivyo kujamba kila wakati.Shida utakuwa nayo kwa kuwa mkeo anaonyesha yuko comfortable sidhani kama atafanya jitihadakukomesha tatizo lake otherwise unabidi uwe serious afahamu.
 
Nina mwaka wa nne sasa kwenye ndoa yangu. Mimi na mke watu tuna watoto wawili, ila kuna jambo ambalo ashakum si matusi limekuwa likinipa kero sana na kuwa na maswali mengi. Mke wangu anapenda kujamba, jamani acheni kabisa, yaani anajamba kwa nguvu zote na kwa kujisikia raha sana, nimejaribu kumwambia kuwa hiyo hali inanipa kero lakini wala haelewi.

Na jambo hili halitegemei kala nini awe amekunywa mchemsho au chips atajamba.awe amekula maharagwe au kunde atajamba. Awe amekula wali samaki atajamba, si mchana si usiku, ye muda wote ni hali hiyo, nimejaribu kuangalia sehemu yake ya haja kubwa kama pengine inaweza kuwa wazi au sijapata uthibitisho wowote bado.

Lakini nachoshangaa ni kuwa anapotaka kufanya jambo hilo huwa kabisa anajiandaa na kubinua makalio yake huku akikenua meno kana kwamba anafanya jambo la busara, raha na la kustahili sifa, yaani ana enjoy sana hilo jambo, lakini starehe yake kwa wengine ni kero. Nisaidieni ana tatizo gani au nimsaidie vipi asiwe anafanya jambo hilo, too much is harmful.

Kama kucheka ni kutanua mapafu kwa afya basi kujamba ni kutanua mkundu wake kwa afya mwache ajambe aisee na mpongeze kwa kumpigia makofi kila mjambo mmoja
 
Kijambo ni afya,na ukiona mtu anamfucha mpenzi wake kijambo huyo hampendi,mjambie hata puani so long as ni kijambo cha upendo,kinachonukia pilao ,si umekula maharagwe yako kama ya Gwajima alafu unatoa ushuzi
 
mnunulie tangawizi mbichi huyo awe anatumia atajamba bila makelele wala kubinua makalio yake.
 
Nina mwaka wa nne sasa kwenye ndoa yangu. Mimi na mke watu tuna watoto wawili, ila kuna jambo ambalo ashakum si matusi limekuwa likinipa kero sana na kuwa na maswali mengi. Mke wangu anapenda kujamba, jamani acheni kabisa, yaani anajamba kwa nguvu zote na kwa kujisikia raha sana, nimejaribu kumwambia kuwa hiyo hali inanipa kero lakini wala haelewi.

Na jambo hili halitegemei kala nini awe amekunywa mchemsho au chips atajamba.awe amekula maharagwe au kunde atajamba. Awe amekula wali samaki atajamba, si mchana si usiku, ye muda wote ni hali hiyo, nimejaribu kuangalia sehemu yake ya haja kubwa kama pengine inaweza kuwa wazi au sijapata uthibitisho wowote bado.

Lakini nachoshangaa ni kuwa anapotaka kufanya jambo hilo huwa kabisa anajiandaa na kubinua makalio yake huku akikenua meno kana kwamba anafanya jambo la busara, raha na la kustahili sifa, yaani ana enjoy sana hilo jambo, lakini starehe yake kwa wengine ni kero. Nisaidieni ana tatizo gani au nimsaidie vipi asiwe anafanya jambo hilo, too much is harmful.
Akijamba mbele anakukaribisha umsugue anapojambia. Jaribu kumpa raha aitakayo.
 
Back
Top Bottom