Nimeanza zoezi ila nakumbana na changamoto zifuatazo mfano nikitaka kupiga "push up" mikono inatetemeka sana au nikisema nibebe chuma mikono inatetemeka sanaa hii ni nn wakuu au ndio kuto kuzoea!?
Mbatia ameibua mambo mengi sana kitaifa amefumbua macho watanzania wengi sana katika hio miaka 25,saada aliotoa juu ya elimu na kuweka mawazo chanya, kufuta ujinga katika vichwa vya Watanzania inatosha kabisa kusema amefanikiwa unlike huyo aliewekwa na kutumika kimaslahi
Nikuongeze ufahamu juu ya utalii mtalii sio lazima awe mzungu hata wewe unaweza kua mtalii kitaalam wanaita utalii wa ndani, kwa mfano mzungu akienda Serengeti na Bwana Pasco akienda serengeti wote ni watalii mmoja katoka nje mwingine ndani
Nafikiri umenielewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.