Miongoni mwa watu watakaopata adhabu kali sana mbele ya hukumu ya Mungu ni wale WAFANYAO DHAMBI KISHA WAKAITANGAZA (WAKAJIFAHARISHA) JUU YA DHAMBI WALIOITENDA BADALA YA KUJUTA NA KULETA TOBA KWA MUNGU .
Mwenyezi Mungu anasema yeye ANASAMEHE DHAMBI ZOTE
Nenda katubu brother wanawake zaidi ya...
Pendael24 uchawi upo, hata maandiko yanathibitisha, mimi ni mwislamu kuna baadhi ya maandiko yanathibisha kuwa
Mashetani huwashukia wanadam waovu zaidi na kuwapa maono , ingawa ni waongo,
Mashetani huwasiliana na wanadam waovu kutimiza azma yao!!
Ila mashetani hawa HAWAWAWEZI WANADAM WENYE...
Kila mmoja akiitazama tanzania anashindwa kuielewa na watu wake pia,
Hakuna tahadhari zozote na watu wanapiga kazi tu ,
Nafikiri mataifã makubwa wanashangaa sana wanapoitazama tanzania
Kapime sukari ,pia ni dalili za awali sukari ina dalili nyingi sana, hii nilisikia kwa shemejiangu akakutwa na sukari.
kama una kilo nyingi nakushauri jaribu kupunguza mwili na kula vyakula docta atakavyokushauri,
Ila njia bora yakupunguza mwili nikuepuka kula vyakula vizito hasa nyakati za...
Ndoa haiangali kabila,sura wala rangi,
Lau tungezingatia makabila tusingeoa
Chamsingi fanya uchunguzi, fika kwao,au tuma mpelelezi akukusanyie data za huyo mwanamke na familia yake kwa ujumla kisha pitisha maamuzi
Wakati mwingine Mungu anaruhusu migogoro kutokea ili akupeleke sehemu nzuri zaid maana anakujua vizuri kuw Wewe ni msaada kwa wengi.
Anakuandaa ukawe bora zaidi sehemu nyingine, usiruhusu mawazo ya kumlaumu Mungu , inuka utapata sehemu bora zaidi ya Hapo tena hadi utasema nilikuwa wapi kabla...
Leo nipo Kigoma nilikuwa misele yangu maeneo ya Ujiji nkakuta mahali watu wamejaa, nkauliza kulikoni, ndio nkaambiwa Yahaya Akilimali kafariki dah dunia tunapita tu, Allah ampe kauli thabit
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.