Recent content by Yaping Xi Laan

  1. Yaping Xi Laan

    Njoo tuandae supu ya bata mzinga ya kuboost nguvu za kukifikia kilele cha kilimanjaro 😋

    Nikshiba tu napumua kdg naingia mzgon nakula mzg
  2. Yaping Xi Laan

    Babu kanishauri?

    xiexie n tn ting de sin
  3. Yaping Xi Laan

    Babu kanishauri?

    Ukiumua haswa pesa haitakusaidia utafia kwa nyumba chenye kitawajulisha majiran ni harufu kal mke pamoja na watoto wanasehem yao kumbuka "NO MAN IS ISLAND NO MAN STANDS ALONE"
  4. Yaping Xi Laan

    Babu kanishauri?

    Hana hata wakusingiziwa
  5. Yaping Xi Laan

    Babu kanishauri?

    Leo nilipokuwa nikpg misele nimekutana na babu.Alikuwa anabeba mzg nikaamua kumsaidia maana nlmuonea huruma. Tulipokuwa njian tukielekea kwake babu yule akaniuliza."hiv mjukuu wangu umeoa",nilimjibu hapana nlshindwa mbn kaniuliza. nlimuuliza babu vp...
  6. Yaping Xi Laan

    Mwili wa James Temba, aliyepotea umeokotwa mto Msimbazi ukiwa hauna kichwa

    hao walioitenda kitendo hich hawana md mrefu dunian ingawa sisi hatuwafahamu mungu anawajua ila damu ya Temba itaalan maana wameua mwili ila roho i hai naitawahukumu kokote walipo watanzania tumekuwa wanyama tunasifika nje kuwa taifa la upendo na aman ila kwa yote hatuna upendo wowote...
  7. Yaping Xi Laan

    Wakristo tujengeni hoja hapa: Mchungaji akikutongoza ukamkataa ni laana? Alisikika mtu mmoja akisema

    huyo mchungaji anafaa asimame mara moja kwa utumish maan atapoteza kondoo na waliwe na mbwa mwitu maana iposiku atasema kuzin sio dhambi
Back
Top Bottom