Mama yangu alienizaa alikuwa watofauti alinikataa ,akutaka kabisa ata kupokea msamaha niliomuomba kipindi chote Cha maisha yake mpka anafariki kuachana na baba yangu akanijumuisha mpaka na Mimi nisie na hatia ! Yote nilishaga yasamehe na nikamzika kwa amani, licha ya kunitamkia Mara nyingi kuwa...
hao veta wanasema cheti cha kozi fupi unakipata mwezi mmoja baada ya kuhitimu,kwasasa kuna waliohitimu tangu mwezi wa kwanza mpka mwezi huu wa 7 vyeti bado wanawazungusha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.