Recent content by Yanabadilika

  1. Y

    Je, Mama ni Mungu?

    Mama yangu alienizaa alikuwa watofauti alinikataa ,akutaka kabisa ata kupokea msamaha niliomuomba kipindi chote Cha maisha yake mpka anafariki kuachana na baba yangu akanijumuisha mpaka na Mimi nisie na hatia ! Yote nilishaga yasamehe na nikamzika kwa amani, licha ya kunitamkia Mara nyingi kuwa...
  2. Y

    Biashara ya nguo za mitumba za watoto

    Upo wapi mkuu,mbona kila post unatangaza biashara yako bila mawasiliano
  3. Y

    Fursa ya mafunzo kukuza ujuzi kwa njia ya uanagenzi(apprentice), Kwa hatua hii vijana tutanufaika sana tuwahi fursa

    Wadau kwenye website ya chuo cha osterbay nmeona wameshayatoa majina ya waliofuzu kujiunga ebu tembelea donboscoysterbay.com kama ni yenyewe
  4. Y

    Ufunguo wa kweli wa kujiajiri upo VETA, graduates njooni mfanye short course mpate skills za ziada

    hao veta wanasema cheti cha kozi fupi unakipata mwezi mmoja baada ya kuhitimu,kwasasa kuna waliohitimu tangu mwezi wa kwanza mpka mwezi huu wa 7 vyeti bado wanawazungusha
  5. Y

    Tetesi: Serikali mbioni kuchapisha noti mpya, kuna hatari ya kuelekea kwa Mugabe, harufu ya tenda za kifisadi zatawala

    huu uzi unanizidisha chuki juu ya jiwe Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Y

    Inakuwaje unafanya yote haya na bado unatukanwa na kudharauliwa bila sababu za msingi

    mkomoe mle 0713 labda hatokubeza Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Y

    Wale waganga wa kienyeji waliokuwa wakiongozwa na mtu mzito wameishia wapi siku hizi?

    lifunguliwe tu jukwaa la ulozi maana unashika kasi Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Y

    Uchawi imani potofu zina application kwenye kilimo?

    unaogopa kujilinda wewe na mali zako,kilimo utakisikia kinalipa kwa wenzako
  9. Y

    Ajali ya waziri wa utalii... Je ni vita ya ndani ama ya nje?

    background ya dr Mwaka alishawai kuwa mganga wa kienyeji si ajabu amerusha kombola la kichawi
  10. Y

    fursa:t.shirt na mashati ya kiume

    siyo mitumba
Back
Top Bottom