Wazee hope mko pouwa.
Kwa kitambo nimekuwa busy na mchakato ya maisha so two months iliyopita nimerudi jukwaani niliyoyakuta ni aibu hata kuwaeleza.
Sorry mwanzoni nilikuwa nadhani nimeingia jukwaa la utani na vichekesho kumbe nilikuwa wrong...! nilichokuwa nakiona na kukisoma kilikuwa...
aache wehu hilo n pepo nabii ....ye aridhike, anaendekeza ngono tuuuu..... et amedata ina maana atakutana na wakaka wangapi mpaka kufa kwake...? wanawake bwana Mmmh ....
Nipo Moshi mjini vipi wenzangu ni mwalimu yupi unayemkumbuka shuleni sana enzi ukiwa sekondari? Na alifanya nini? Mimi pale Anna Mkapa Sekondari namkumbuka Nkya yaani...........simalizii.vipi Rau,Mji mpya,Msaranga,J.k,Kiboriloni na Msasani tukumbushane.usiku mwema masela
nipo moshi mjini vipi wenzangu ni mwalimu yupi unayemkumbuka shuleni sana enzi ukiwa sekondari? Na alifanya nini? Mimi pale anna mkapa namkumbuka nkya yaani...........simalizii.vipi rau,mji mpya,msaranga,j.k,kiboriloni na msasani tukumbushane.usiku mwema masela
Ukawa msitikisike wengi tupo nyuma yenu nawaonea huruma hao madereva bodaboda serikali ya ccm inawafukuza katikati ya mji kwa madai ya kuchafua mji mfano dar,arusha na kwingineko leo wanatumika???? Ila wataisoma siku moja.ukawa chapeni mwendo anayeuliza kwamba ukawa wanatumia resourse kupoteza...
we mchaga nini unatakla jamaa aongelee mkwanja ili ujue namna ya kumchuna acha hizo..... of course kweli kila jambo na wakati wake im not sure kama kuna mtu ataongelea love connect all the time atakuwa bururaaaa....
Wapendwa watanzania wenzangu......
naamni kwa sisi wachambuzi wa masuala ya KISIASA tumekata tamaaa na jinsi mchakato wa katiba unavyo endeshwa....amin nakwambia katika siku 40 na kitu zilizo baki wajumbe wataanza kurudi kwao mapemaaa..... kuanzia wiki ijayo kuendelea na majukumu yao ya kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.