Nimeshindwa kusema naomba kinga dukani

Nimeshindwa kusema naomba kinga dukani

Piga kavu wewe condom za nini..usiende kinyume na maagizo ya kuijaza dunia..condom ni adui wa maandiko

mkuu acha mara moja kupotosha watu
kuna magonjwa mengi siku hizi!
 
umenikumbusha lile tangazo la kwenye tv jamaa mpk anamuona babu anataka kondom ndio na yeye anapata ujasiri wa kununua, kufika home anamkuta mtoto anatimua
 
Kondom nyingi zimepandikizwa virus mbalimbali vikiwemo na vya HIV. Mdogo Wangu utakufa
 
umenikumbusha lile tangazo la kwenye tv jamaa mpk anamuona babu anataka kondom ndio na yeye anapata ujasiri wa kununua, kufika home anamkuta mtoto anatimua

unaweza kukosa mlo hivi hivi mkuu
 
huyo unaye muonea aibu dukani nayeye anajua na si ajabu anatumia naye condom, we mwambie tu unahitaji condom hata km kuna watu!!
 
Ungelikuwa na mke hata dhamira isingekusuta...ungeliomba upewe hata mbele ya mama mkwe.

hahahaha
mkuu siku hizi watu wanamawazo mabaya na hii kitu hasa ukikuta kuna watoto
 
hahahaha
mkuu siku hizi watu wanamawazo mabaya na hii kitu hasa ukikuta kuna watoto

Kwani ndomu si ilitengenezwa kwa ajili ya uzazi wa mpango mkuu...sasa huo uoga ndio naushangaa
 
sa utaweza kumtongoza mdada mbele ya rafiki zake ukiwa na uwoga wa hivyo?
 
Kwani ndomu si ilitengenezwa kwa ajili ya uzazi wa mpango mkuu...sasa huo uoga ndio naushangaa

itabidi niwe shupavu sasa! Nisijepanga foleni za Arv's bila uwoga
 
mwanaaa..... hata mimi nilikuwa hivyo lakini sa hivi nafunguka tuu.... mficha maradhi....kifo humuumbua we funguka....
 
wakuu naombeni uzoefu wenu huku mitaani.
Kwangu mimi hizi zana huwa naendaga hospital nazoa za kutosha na huwa nakuwa huru kwani hakuna mtu anayekufuatilia
Sasa leo ziliniishia nakona isiwe tabu nikaenda duka la dawa kujinunulia mzigo .kufika pale nikakutana na mhudumu mzuuuri akiwa ana hudumia wateja mdomo wangu ukawa mzito.
Je wakuu pakiwa na watu wengi ni neno gani la kutamka bika kuharibu maana kwa watu kuwa labda ni mzinzi!!
jamani bro...unaona aibu kusema condom?wakati watoto wa primary wa darasa la kwanza wanasema hilo neno on a daily basis....
 
daah mkuu umeenda mbali sana
hiyo foleni naiogopa sana na ndio maana najilinda sana

Safi sana!!! Cha msingi na kwa uhakika zaidi amua kuwa na mmoja mnayeaminiana, na ni mke au mume wote muwe committed!!!! Inasikitisha wanandoa ndiyo tunaongoza kwa VVU (kulingana na TACAIDS data za up to 2012, sijajua status kwa sasa). Hatari sana hii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom