Hivi wanaume wenzangu nani kawaloga?

Hivi wanaume wenzangu nani kawaloga?

yamoyoni mwangu

Senior Member
Joined
Oct 25, 2013
Posts
106
Reaction score
31
Wazee hope mko pouwa.

Kwa kitambo nimekuwa busy na mchakato ya maisha so two months iliyopita nimerudi jukwaani niliyoyakuta ni aibu hata kuwaeleza.

Sorry mwanzoni nilikuwa nadhani nimeingia jukwaa la utani na vichekesho kumbe nilikuwa wrong...! nilichokuwa nakiona na kukisoma kilikuwa kwel.... back to our topic yaan thread zinazowekwa jukwaan zinatia uvivu hata kuzisoma et mwanaume mzima anamwambia mwenzake et mwanaume kuhonga..... mara utisikia mwanaume unapoombwa pesa hutakiwi kujulizaliza... oohh nikimukuta wife wangu na wanasiasa namsamehe... mmelogwa au mnavunga tuu.. kwanza kwa taarifa yako hata wanawake wenyewe wanawashangaa... mwanaume mzima unaleta uz wa kijinga jinga hebu achen mambo ya kizamani.. cku hiz hata wanawake wako busy na mambo ya msingi sasa we utakuwa mwanaume gan... usiye jielewaaa..tena wengine mmeoa au mpo kwenye mahusiano.. wasomi wazima degree holders au masters unafanya haya... jaman hii aibu kabisa.. kama una honga we honga unavoweza lakn take in ur mind pesa pekee haitosh kulinda pez lako kuwa strong kama mwanaume araaaaa..
 
Relax halafu andika kiswahili au lugha inayoeleweka..xo ni nini?
 
wewe ni mwanaume au mvulana vigezo na masharti ya kuandika vimezingatiwa
 
Wazee hope mko pouwa.

Kwa kitambo nimekuwa busy na mchakato ya maisha so two months iliyopita nimerudi jukwaani niliyoyakuta ni aibu hata kuwaeleza.

Sorry mwanzoni nilikuwa nadhani nimeingia jukwaa la utani na vichekesho kumbe nilikuwa wrong...! nilichokuwa nakiona na kukisoma kilikuwa kwel.... back to our topic yaan thread zinazowekwa jukwaan zinatia uvivu hata kuzisoma et mwanaume mzima anamwambia mwenzake et mwanaume kuhonga..... mara utisikia mwanaume unapoombwa pesa hutakiwi kujulizaliza... oohh nikimukuta wife wangu na wanasiasa namsamehe... mmelogwa au mnavunga tuu.. kwanza kwa taarifa yako hata wanawake wenyewe wanawashangaa... mwanaume mzima unaleta uz wa kijinga jinga hebu achen mambo ya kizamani.. cku hiz hata wanawake wako busy na mambo ya msingi sasa we utakuwa mwanaume gan... usiye jielewaaa..tena wengine mmeoa au mpo kwenye mahusiano.. wasomi wazima degree holders au masters unafanya haya... jaman hii aibu kabisa.. kama una honga we honga unavoweza lakn take in ur mind pesa pekee haitosh kulinda pez lako kuwa strong kama mwanaume araaaaa..
skia wewe kilaza sijaona point hata moja zaidi ya kujaza server tu!!!
hujui kuruka mstari, hujui mkato, hujui kuanza na aya yote tisa kumi hujui kuongea point!!!!
 
Mtajuaje watu tumetoka JKT?

sasa unamaanisha JKT ndo wanaongea utumbo utumbo!!!
mbona una loose confidence vibaya!!! hii jamii forum utapewa majibu ukahadithie kwenu shauri yako!!!
The Home of Great Thinkers......
 
I couldnt agree more! WANAUME humu MMU wamezidi si uongo! Waambie hao! Unadhani! Wape makavu yao! *AN ENEMY OF YOUR ENEMY IS YOUR FRIEND:A S wink:*
 
Wazee hope mko pouwa.

Kwa kitambo nimekuwa busy na mchakato ya maisha so two months iliyopita nimerudi jukwaani niliyoyakuta ni aibu hata kuwaeleza.

Sorry mwanzoni nilikuwa nadhani nimeingia jukwaa la utani na vichekesho kumbe nilikuwa wrong...! nilichokuwa nakiona na kukisoma kilikuwa kwel.... back to our topic yaan thread zinazowekwa jukwaan zinatia uvivu hata kuzisoma et mwanaume mzima anamwambia mwenzake et mwanaume kuhonga..... mara utisikia mwanaume unapoombwa pesa hutakiwi kujulizaliza... oohh nikimukuta wife wangu na wanasiasa namsamehe... mmelogwa au mnavunga tuu.. kwanza kwa taarifa yako hata wanawake wenyewe wanawashangaa... mwanaume mzima unaleta uz wa kijinga jinga hebu achen mambo ya kizamani.. cku hiz hata wanawake wako busy na mambo ya msingi sasa we utakuwa mwanaume gan... usiye jielewaaa..tena wengine mmeoa au mpo kwenye mahusiano.. wasomi wazima degree holders au masters unafanya haya... jaman hii aibu kabisa.. kama una honga we honga unavoweza lakn take in ur mind pesa pekee haitosh kulinda pez lako kuwa strong kama mwanaume araaaaa..




Una idea nzuri ila kuiwasilisha ndo tatizo.
 
Mkuu waandike majina wote wale waliorogwa halafu uwalete kwangu niwafanyie manyanga tuwatoe hao maruhani wanaowasumbua...

Hakikisha ukiwa waja kwangu uwe na sharubu za simba, kucha za chui, chozi la mamba na vyote uvifunge kwenye kitambaa chekundu...

Ukishindwa hivyo unaweza kuleta mkaa wa mgomba, mizizi ya mawe, embe la kwanza kudondoka kwenye mwembe wowote ule...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom