Ukipanda mahindi usitegemee kuvuna mpunga, Nimefatilia kwa undani vifo vya viongozi wengi wale waliofikia vyeo vya Juu vifo vyao vimegubikwa na Utata mkubwa sana Huku Uhalisia wa taarifa juu ya vifo vyao vikibaki Kuwa classifieds kwa viongozi wanaobaki, Kuongoza Watu ni kazi sana kiasi kwamba...
Mimi sio mwislamu wala mkiristo mkuu mimi ni mwafrika na Mtanzania.
Afu next time jifunze kutofautisha Nguvu na Ushawishi, Pope ana ushawishi mkubwa sana duniani ila sio Nguvu.
Bata ukimchunguza huwezi kumla kabisa sio tu hao mama ntilie wewe kafatilia point to point huko hotel kubwa kama usipoishia kushiba bila ata kula, Chakula salama andaa mwenyewe kama Umeamua kutumia Junk food kwa Kuwa una ubize kubaliana na yote na Uache kuchunguza kikikushinda unasepa Restraunt...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.