Mbona mubovu huyo
Pengine ni simu yangu lakini naona wa kawaida.
NB. Mtemi Kisandu Mtoto wa Obama umeshamshindwa?
Watu tuko tofauti kweli View attachment 660740 Helen ni wakawaida View attachment 660741Huyu ni sanchoka
Namshangaa mtu mkubwa hivyoMgombea mtarajiwa yaani bado unatumia njia hizi c umuibukie tu hukohuko alipo, au mtumie tiket aje
Nahisi siyo yeyeHilo jina lako nje ya jf lina trend mno,ila kwa izi nyuzi hahahahaha!!!! No reflection at all
Kumpenda mtu ambaye siyo type yako ni sawa na kusubiri nguruwe msikitini.



Deo kumbe huwaga unajibu comments, naonaga unaweka mabandiko unatokomea
Deo kumbe huwaga unajibu comments, naonaga unaweka mabandiko unatokomea
Huyo Sanchoka mwenyewe hamna kitu. JokateWatu tuko tofauti kweli View attachment 660740 Helen ni wakawaida View attachment 660741Huyu ni sanchoka
Kwa sanchoka umependa hiyo zawadi ya kudumu eeh?Watu tuko tofauti kweli View attachment 660740 Helen ni wakawaida View attachment 660741Huyu ni sanchoka
Hata mimi nimeshangaa. Huwa anaibua thread halafu anatokomea. Mara chache sana anajibu. Na akijibu, anajibu madem tu.Deo kumbe huwaga unajibu comments, naonaga unaweka mabandiko unatokomea
Deo akamsaidie kutengeza sabuni natural.Muibukie Zanzibar kwenye kiwanda chake, mbona sikuhizi mambo yamejirahisisha sana. Jiongeze fasta
Deo akamsaidie kutengeza sabuni natural.
Kipenda roho....
SafiAnapenda anacho feel.