Wakuu huyu mtu yuko wapi?
Aliwahi kuwa bondia miaka ya nyuma akifanya mazoezi gerezani eneo maarufu kwa ndondi. Kijiwe chake Kariakoo mtaa wa Kongo na Magomeni mapipa. Yuko wapi Ally boxer?
Nimpe Bwana sifa na utukufu kwa kunipatia huyu mchumba, ananipenda na mimi nampenda panapo majaaliwa mwishoni mwa mwaka huu tutafunga ndoa.
Tatizo ni kwa x-girl friend wangu alikuwa na chachandu ya gold kiunoni. huyu hana. nilipomwomba atafute chachandu kanipa jibu linalonikosesha raha kabisa...
kuna mmoja nimemwambia mimi mpare na yeye akasema ni half cast wa kimeru na mpare. baada ya siku chache nikagundua mama yake mdogo ndio kaolewa na mpare na hivyo wameunga undugu. nilichoka kabisa. ndoa sio rahisi kama hivooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.