Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,327
- Thread starter
- #41
Kasamehe tu kamezoea jina la Yesu badala ya Issa jina ambalo Waislamu hulitumia kwa Yesu. Next time kakikupa uroda kakumbushe ukiwa unakagegeda na kakinogewa na utamu kasitamke Yesu weye hupendi, bali katamke Issa.
BAK si kama nachukia akimtaja Yesu! But ni contrary na maelezo yake kuwa yeye ni Muslim!
...
Kiukweli mimi sijakremu naweza kuaoa hata Budha if nimempenda na tumekubaliana!
...
But kudanganywa spendagi kabisa!