JT2014
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,863
- 1,374
Basi,Basi ndugu,harudii tena!Mwenzie alinunuliwa na mwanaume kama wewe anaejitambua ila wewe ulikuwa unaitumia tu kimburulamburula.
Basi,Basi ndugu,harudii tena!Mwenzie alinunuliwa na mwanaume kama wewe anaejitambua ila wewe ulikuwa unaitumia tu kimburulamburula.
Chacha hapo nani anamuoa mwenzie?Si uvae wewe kwanza aone mfano!!
Nenda kanunue umletee avaee[/QUOTE
ewaa,hujambo lakini badiebey?
Ila wewe....umeniudhi! Huoni kosa lako kijana?!Kubeba makunyanzi ya mahusiano yaliyopita na kuyaleta kwenye uhusiano wako mpya unaodai 'unampenda' huku ukimfananisha na ex wako ni tabia chafu, tena mbaya sana!
Ni PM namba yake I assure you atapata hiyo kitu!!!!
Mavi yako, huoni kosa lako??
Si uvae wewe kwanza aone mfano!!
dada unaneno makari weweeee
Huu mwanzo tu,baada ya chachandu atataka avae kama X,asuke kama X,atembee kama X!!!!Ila wewe....umeniudhi! Huoni kosa lako kijana?!Kubeba makunyanzi ya mahusiano yaliyopita na kuyaleta kwenye uhusiano wako mpya unaodai 'unampenda' huku ukimfananisha na ex wako ni tabia chafu, tena mbaya sana!
Aaaaa dada si afadhali nikanunue matofali nianze kimsingi tupate pa kulala?
Aaaaa dada si afadhali nikanunue matofali nianze kimsingi tupate pa kulala?