Huyo itakuwa mlichelewa kumuanzishia chuchu ilibidi aanze mapema hata kabla maternity haijakaribia kuisha...
Mnaweza kujaribu kumpa kwa kijiko kuna sehemu niliona wanatumia njia hii ikafanikiwa
Kuhusu kiasi sina uhakika
Kwa kweli huku Kigamboni wamezidi halafu ni kila siku.... imagine leo tu tangu asubuhi wameshakata mara tatu na hadi muda huu hakuna umeme wanaboa sana
Wataalam najua hii ni mada ya siku nyingi lakini natamani kupata mawazo zaidi... mimi hujifungua kwa operation na tayari ninazo mbili natamani nitakapoenda kufanya ya tatu nifunge kabisa kizazi. Kuna madhara yoyote kiafya nitakayoyapata?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.