Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anywe akitosheka, Unamuondelea ziwa.
Kwanini utumie chuchu za watoto, mama mtu kazi yake ni nini kwa mtoto mimi nafaham mtoto anatakiwa anyonye angalau kwa miaka 2...enough.Wakuu, mtoto wa miezi minne anatakiwa anywe at least kiasi gani cha ujazo wa maziwa ya mama kuanzia saa moja asubuhi hadi saa tisa mchana. Tunatumia chuchu za watoto
👍 👍Anywe tani yake
Kwanini utumie chuchu za watoto, mama mtu kazi yake ni nini kwa mtoto mimi nafaham mtoto anatakiwa anyonye angalau kwa miaka 2...enough.
As much as he/she can
Kizungu zaidi kwa msisitizo
Huyo itakuwa mlichelewa kumuanzishia chuchu ilibidi aanze mapema hata kabla maternity haijakaribia kuisha...Tatizo hapendi ile chuchu ya watoto ya maziwa,inabidi akabiwe na anakunywa kidogo sana
anyonye mpaka asinzie.
Huyo itakuwa mlichelewa kumuanzishia chuchu ilibidi aanze mapema hata kabla maternity haijakaribia kuisha...
Mnaweza kujaribu kumpa kwa kijiko kuna sehemu niliona wanatumia njia hii ikafanikiwa
Kuhusu kiasi sina uhakika