UKIONA wanaokutongoza wote wamenyoa viduku[emoji64], wana mabrichi kichwani, wavaa milegezo na suruali zilizotoboka magotini.... Dada angu ujue tu Safari yako ya kuolewa bado ni ndefu!!! Wanaume wanaokutongoza wanatafsiri muonekano wako... Ndio mana hutongozwi na husband material!! Unafuatwa na...
Msaada wana jf huwa naweza nikabanwa na mkojo wa kushindwa kujizuia then nikakimbilia chooni kwenda kukojoa na nikifika huwa natumia nguvu nyingi kukojoa mkojo hautoki kwa haraka naombeni kujua tatizo huwa ni nini na tiba yake ni ipi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeibiwa simu sasa nataka niifungie simu yangu ili tukose wote mimi na huyo mwizi wa simu na kama kuna app ya kuweza kuitrack ili niweze kuijua ilipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.