Haya issue ingine ya mateso kutoka jwtz niliiona huko kambi ya nyandoto, jamaa alikutwa anaoga kwenye kimto ndani ya kambi, weeee aliletewa sabuni miche mi 5 alafu anaambiwa aoge hadi hizo sabuni ziiisheeee, sie watazamaji tulisepa yule jamaa sijui ilikuwaje. Ila tujifunze ukikuta kibao...
Hawa jwtz nawapa salute, kuna jamaa alikutwa anakula mapera pale nyegezi kona eneo LA jeshi, jamaa walimpeleka jikon kwao akapewa ugali ndoo nzima na nyama kama kilo 5 ivi, jamaa akala akashiba msosi ukabaki, kubakiza msos ikawa kesi wakamwambia ale wote uishe coz alikuwa na njaa that why...
Mafanikio yana pande mbili, upande wa nuru na upande wa Giza, upande wa nuru ndio mafanikio unayoyaona upande wa Giza ni jinsi Huyo MTU alivyopata hayo mafanikio. Usitaman cha MTU coz akikwambia jins anavyofanikiwa kamwe huwez hata kuthubutu kufuata nyao zake. Hustle kivyako vyako.
Hizo million ulizozitaja ni kwa ratio ip, tz shillings, us dollars or? Na kama ni tz shillings umetudanganya coz kwa ulaya MTU hawez kusurvive kwa hizo rank za salary kwa mwez.
Truth , huku halmashaur ya msalala madiwan wamevutana sana mahar pa kujenga makao makuu ya wilaya, matokeo yake wanaacha kujenga busangi sehem nzuri wakaamua kujenga ntobo kwenye majaluba ya mpunga, sasa hizi mvua zinazonyesha eneo lote limekuwa bwawa na ujenz umesimama. Miongon mwa wanasiasa...
Eti graduate unalia hakuna ajira!!!!!, katafte temple za family care kwa wahindi au ukafanye kaz Sudan,Syria, somalia Lebanon mbona wanatafta madaktar kwa wingi, ukishindwa hilo inakubid upige moyo konde kusubiria ajira za TZ huku ukilima mchicha huko unakoish., ni idea tu.
Kwan humu jamvin si mumtafte mpoki na kajala muwahoji live, BT nimekumbuka kale ka msemo ka kamari ni kuliwa, wabongo tunataka maisha ya kutokuumiza kichwa, yaan hata MTU hujiuliz kwa buku tu wakupe mil 20!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.