Ha Haa Haaa Umenikumbusha Mbali Mkuu. Nilipokuaga Mtoto Mi Nilijua Mwafrika Akifa Anaenda Kuzalia Mzungu Ulalya. Nilikua Nikiona Wanazika Mtu, Najua Kesho Tu Anakua Ulaya Tena Mzungu.
Lakin Ukifikiri Kwa Kina Kama Kuna Ukweli Flan Hapa, Sema Tu, Tumekaririshwa Et Sayar Ya Dunia Tu Ndo Ina Viumbe, Kwa Hiyo Sayari Zoooooote Zilizobaki Ni Mapambo? Nakuunga Mkono Mkuu Huko Sayar Zingine Kuna Viumbe Vingine Tena Wanaishi Na Kuabudu.
Hata Nami Nakubaliana Na Ww, Tofaut Kubwa Ni
> Perfume Iko Ktk Mfumo Wa Maji Maji Na
> Body Spray Ipo Ktk Mfumo Wa Gesi. Lakin Vyote Vinanukia Na Unaweza Kujipulizia Kwenye Mwili Au Kwenye Nguo.
Mkuu Tafadhali Hebu Nipe Hilo Andiko " Kama Kiungo Cha Mwili Kinakusababishia Dhambi Ni Heri Uking'oe" Mi Nataka Tu Nijiridhishe Maana Kwangu Nikilifuata Hila Andiko Naweza Kung'oa Vitu Vingi Na Kubaki Kama Zombi.
Unashangaa Hilo Wakati Mwaka 2008 Majambazi Walichukua Pesa Ndani Ya Kituo Cha Polisi, Pale Msimbazi Post Kariakoo. Zilipigwa Risasi Kama Mvua Polisi Wakakimbia Kituo Wengine Wakalala Chini Ya Meza Wazee Wakavuta Mkwanja Wakasepa. Yani Mi Sina Imani Na Jeshi La Polisi Hata Kidogo.
Habari Zenu Wana Jf.
Mwenye Kuifaham Hii Namba Anisaidie +255901761234. Mara Ya Kwanza ilinipigia Nilikua Chooni Nikakuta Call Missed, Pindi Nikiipiga Sim Haiendi Inakata Tu. Siku Ya Jana Tena Ikanipigia Sim ilikua Chaji Nikakuta Tena Call Missed Kila Nikiipata Sim Haiendi inakata Tu.
Naomba...
Hapo Ndo Hua Namkumbuka MSHANA Jr Kwenye Topic Kuhusu NDAFU Na Wachaga. Yan Hawa Watu Ni Washirikina Balaa. Wapo Radhi Wafanye Lolote ilimrad Wapate Pesa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.