Mwanachama Sahihi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 572
- 217
+255901761234 kupitia vodacom. Sipendi kupigiwa simu zisizokuwa na maana. Tuheshimiane tafadhali.
Hata mm nlipigiwa kwenye # yangu ya vodaHabari Zenu Wana Jf.
Mwenye Kuifaham Hii Namba Anisaidie +255901761234. Mara Ya Kwanza ilinipigia Nilikua Chooni Nikakuta Call Missed, Pindi Nikiipiga Sim Haiendi Inakata Tu. Siku Ya Jana Tena Ikanipigia Sim ilikua Chaji Nikakuta Tena Call Missed Kila Nikiipata Sim Haiendi inakata Tu.
Naomba Msaada Kwa Mwenye Kuijua Au Kuifahamu Namba Hii Anifahamishe.
Natanguliza Shukrani Zangu Za Dhati Kwenu.
Hata mm nlipigiwa kwenye # yangu ya voda
hawa jamaa watakuwa matapeli tu, wanajaribu ku rusha ndoano wa one kama wataweza kuvua samaki....wakati sisi wengine ni makambale imekula kwao
Habari Zenu Wana Jf.
Mwenye Kuifaham Hii Namba Anisaidie +255901761234. Mara Ya Kwanza ilinipigia Nilikua Chooni Nikakuta Call Missed, Pindi Nikiipiga Sim Haiendi Inakata Tu. Siku Ya Jana Tena Ikanipigia Sim ilikua Chaji Nikakuta Tena Call Missed Kila Nikiipata Sim Haiendi inakata Tu.
Naomba Msaada Kwa Mwenye Kuijua Au Kuifahamu Namba Hii Anifahamishe.
Natanguliza Shukrani Zangu Za Dhati Kwenu.
mkuu hiyo ni service number tu.
ukiligiwa tena unaweza ukaipotezea tu maana haina umuhimu wowote..
ukiona kero basi fanya hivi;
1. Save hiyo namba kwenye simu halafu ui-block.
2. Download app inaitwa TRUECALLER, tumia hiyo kublock namba kama hizo.
kwanini hukupokea ili ujue?wadau hope amjambo wote, no hii imenipigia mara nne ya ofisi gan jamn +255901761234? help me!