Hodi wakuu!
Kama kichwa Cha habari hapo juu kilivyosema nahitaji mtu anayetaka kuuza biashara yake ya duka la dawa yaani DLDM au maabara ya afya kwa mikoa ya kanda ya ziwa.
kwa yoyote anayeuza anicheki
Natanguliza shukrani zangu kwenu
Hodi wakuu!
Napenda kushukuru kwa mchango wenu wa mawazo yenu kwa kunishauri kwa upendo na wengine kuwa na hasira ila kifupi nimesaidika sana Mungu awe nanyi wapendwa ila tafadhari Sana punguzeni kutumia maneno makali na matusi kwani hayajengi zaidi unakuwa una haribu mentality ya mtu, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.