Recent content by Wizobaby

  1. Wizobaby

    URUSI: Wananchi wanapiga kura kuongeza muda wa Rais Putin

    kati ya USA na urusi ni nani anaongoza kwa maovu.... ni nchi ngapi usa kavamia na hakuwa na ushahidi wa kutosha kuwa nci hzo ni za kidokteta au znamiliki nyuklia
  2. Wizobaby

    Uliza chochote kuhusu matatizo ya hardware kwenye laptop na desktop

    external hard disk yangu ni kii conect kwenye laptop inaomba ku format namimi sitak kuiformat je kuna njia yoyote ille yakuifanya isome bila kuomba ku format
  3. Wizobaby

    Jokofu (Friji) gani linatumia umeme kidogo na inawahi kupoza?

    Mwanzo nilikuwa natumia super general. je, bado zipo sokoni Kwa Dar? zinapatikana maeneo gani? Je, kuna fridge nzuri zaid ya super general
  4. Wizobaby

    Tatizo lolote la PC/device

    Hii hdd mwanzo ilikuwa na window ten so baada yakuitoa nakuiweka kwenyee laptops nyngne.ndo nikawaka window 7 '' kisha nika update driver kupitia app ya driver pack online Baada yakumaliza c ndo nikaanza kuingiza pc apps mbali mbali Lakin kila nikiingiza apps nikifungua inaleta ujumbe huo
  5. Wizobaby

    Tatizo lolote la PC/device

    nimepiga window 7 ultmte ila kila nikiingiza app nikifungua znaandka un able to start correctly/error [0xc0000005] je inasababishwa na nn? je nijins gani ya ku solve hili tatizo?
  6. Wizobaby

    Waziri nchimbi hivi unajua hili

    Mpaka leo tarehe 15 mwezi wanne askari polis mkoa wa morogoro hawajapata posho yao tarehe 15 mwez wa 3 je wakale wap au ndo kuwatia majarbun yakujiingiza kwenye vtendo vya rushwa?
  7. Wizobaby

    Wajanja night vip tena

    wamewapendelea wa univacity 2 cc wapga wametuonea
  8. Wizobaby

    KABAAANG! 300mins & Unlimited(Internet+SMS)/wk...

    kumbe nawewe umeliona kidogo voda wameanza kujirudi
  9. Wizobaby

    Polisi waliohusika na M.150 Wafukuzwa kazi!

    hata me nahisi kuna kiini macho nahii nikwanin itokee baada yachmbi kuwacmamisha wengne je mda walikuwa wap? Je hzo m150 watazludsha vp achen hzo bana pengne mmekula wote baada yakunuka ndo mumeamua kuwa kuwaangushia jumba bovu askar wa chini nahv polisi wenyewe hawapendan na hawana uhuru mbona...
  10. Wizobaby

    Direct3D:UNABLE TO CREATE DEVICE (anybody help me)

    Kila nikfungua magame kwenye mypc inaniletea hyo sms je nifanyaje ili kusovu tatzo na hii nibaada yakuchange vga card nakuweka window mpya hata yupo jiran yangu mwenye tatzo kama hlo yeye limeaanza yakupga window mpya .nahtaj msaada wenu
  11. Wizobaby

    Uume wangu mdogo nazuga Mlokole

    teh teh et spidi gavana duh
  12. Wizobaby

    Queen of the Gorillas (Malkia wa Masokwe)

    unahkika gani' kama mziz mkavu hana copyright je unalijua jna halis la mziz mkavu ,anyway we knachokuuma nin haswa kama unaona shgongo hatendew hak nenda kashtak
Back
Top Bottom