Wajanja night vip tena

Wajanja night vip tena

Leo saa 8 usiku nimejiunga bila tatizo, nadhani kuna kitu walikua wanarekebisha. ukipiga *149*02# utaona something new check it out guys

wamewapendelea wa univacity 2 cc wapga wametuonea
 
wamewapendelea wa univacity 2 cc wapga wametuonea

Sidhani kama ni kweli, mie niko ndani ya eneo la chuo na hua najiunga na university promotion lakini hii JIMUVUZISHE nmeambiwa niko nje ya eneo la JIMUVUZISHE
 
Aisee mie sio mtu wa ku chart wala kupiga simu, leo wakati najiunga na university promotion ndio nikaiona, wacha nifatilie nitarudi kwa maelezo. UPDATE nimejaribu kujiunga now naambiwa "Ndugu mteja kwa sasa uko nje ya eneo la JIMUVUZISHE tafadhari piga *149*01#……………" naona nayo hii iko kimaeneo maeneo but mpaka sasa hawaja specify kua iko applicable maeneo gani.
mi mwneyewe nimejaribu kujiunga wakaniambia sipo maeneo so nafikiri ni sehemu tofauti na chuo. thanx for the heads up
 

wakiifuta watatlazimu kurudia yale mambo ya uchakachuaji

Hii ni habari nyingine Aisee.
kazi ni kwako.jpg
 
8.7Mbps mambo ya connectify hayo?

Siyo conectify kaka bali Mambo ya Huawei E352 kitu cha Orange Mobile(kina antenna ya kukamata 3G )
kuna dogo kaniletea toka kwa Madiba.
Unaambiwa ni dude la 14.4 Mbps but kibongo bongo napata 4-5mbps hiyo screen shoot imenishangaza leo mida ya Alfajir.
Hawa voda ni Habari nyingine Aisee..... wait nikipata muda nitakipiga picha nikuwekee kunako jamvi maana sasa nipo job mwanakwetu!!!!
 
dah kitu imerudi hewani kama kawa.asante voda
 
Back
Top Bottom