Hakuna unlimited internet mh so walikuwa wanatuzuga 2,basi kama ni hvyo inabidi watuombe msamahakaabang nilijiunga jana wakanipa-- dk-300[dk 150-tigo-tigo, dk 150 mitandao mingine]. msg 5000, internet wakachukua mia 800 yangu, na hakuna unlimited internet, nikawaulizia kuhusu internet wakasema tatizo lipo, tupo kama wawili tumetoa malalamiko
pole kaka ndo KABAAAANG!! hiyonimejiunga na inaisha tarehe 8, mtandao unasumbua sana kwa maana ya internet hasa kwenye downloading, hata kutuma sms ni shida coz haziend kwa wakati zinakuwa pending sana nilidhani ni mtandao bt ni hii kabang, ila kwenye dakika ni full kujiachia hadi leo imebaki siku mbili bado nina salio la dakika 132, iko poa kwa kifupi
Natumia KABAANG ni mwendo wa raha mustarehe.....naangalia movie online mwanzo mwisho...nafanya fujo zote online....hakuna tatizo....Nimeona hii kitu kwenye tiGo leo...
Kwa kawaida mimi huwa ni wa mwisho kujiunga na hizi promo,naomba wale wazee wa kujilipua watupatie majibu kuhusiana na speed.Maana isijekuwa yale ya fokoda,baada ya 700mb,unapata kitu cha tortoise...
Wanasema unatuma neno:KABANG kwenda 15711 kwa tsh 9000/- Unapewa dk.300 kwenda mitandao yote na unlimited internet na sms kwa wiki moja.
u
Natumia KABAANG ni mwendo wa raha mustarehe.....naangalia movie online mwanzo mwisho...nafanya fujo zote online....hakuna tatizo....
Kwa voice na sms, imetulia Ukiactivate jumatatu inafika jumatatu inayofwata huja scracth voucher ingine NOTE: DAKIKA NI 150 TIGO-TIGO NA 150 TIGO-MITANDAO MINGINE, SMS NI 5000 , NET SIJUI MAANA MIE NIKO KWA BLACKBERRY PLAN AMBAYO IMETULIANimeona hii kitu kwenye tiGo leo... Kwa kawaida mimi huwa ni wa mwisho kujiunga na hizi promo,naomba wale wazee wa kujilipua watupatie majibu kuhusiana na speed.Maana isijekuwa yale ya fokoda,baada ya 700mb,unapata kitu cha tortoise... Wanasema unatuma neno:KABANG kwenda 15711 kwa tsh 9000/- Unapewa dk.300 kwenda mitandao yote na unlimited internet na sms kwa wiki moja.
Tokea katikati ya February tigo wapo mabovu kabisa yaani speed imeshuka kinoma noma!!!