Recent content by Wiyau

  1. W

    Picha: Bodaboda na Simba uso kwa uso

    Nawashukuru kwa michango mizuri. Hiyo ni picha halisi ya tukio.
  2. W

    Picha: Bodaboda na Simba uso kwa uso

    Ilitokea ghafla katika barabara ya Makongolosi kuelekea Rungwa mkoani Mbeya. Ghafla kwenye kona mnyama simba kakutwa kajipumzisha katikati ya barabara eneo la pori la simba. Wakati magari yakiwa yamesimama, mara Bodaboda akatokea na bila kujua akataka kuyapita kwa kasi (kuchepuka) ndipo...
  3. W

    Asili ya maneno 'Shikamoo' na 'Marahaba' ni utumwa, kwanini tunaendelea kuyatumia?

    Huyo aliyekutana na Mwalimu Nyerere kwao ikoje? Soma hii! Indian Greeting Customs and TraditionsWhat is Namaste? Among all the countries in Asia, India can be placed among the top 2 or 3 most traditional country. We will first start out slowly with India. In this article, I will cover the...
  4. W

    Kikwete sio wewe uliowaleta real madrid

    Kikubwa ni kuwa na sera zinazotoa fursa kwa vitu kama hivyo kufanyika. Mfano Alhaji Aliko Dangote (kutoka Nigeria) anajenga kiwanda cha simenti hapa nchini kinacho kadiriwa kugharimu takriban $600m. Je Rais Kikwete akienda kuweka jiwe la msingi itakuwa nongwa?
  5. W

    Wananchi wamshangilia Dk. Magufuli! Asimamia, daraja la mto Mzinga lafunguka magari yaanza kupita.

    Juzi tuliambiwa kanusurika katika ajali ya helikopta. Jana usiku amekutwa akisimamia kazi pale Mbagala Kongowe lilipokatika daraja. Watu wameanza kupita.
  6. W

    Kuna taarifa tanroads wamefunga barabara ya Bagamoyo kwenda Msata

    Kuna taarifa zimesambazwa kuwa Tanroad wameifunga barabara ya Bagamoyo hadi Msata. Nikipata nakala nitaiweka kwataarifa. Kwa hali hiyo barabara ya Dar kupitia Mlandizi hadi Chalinze itakuwa na ongezeko kubwa la magari kwa sababu wengi tulianza kutumia barabara hiyo ya bagamoyo ambayo ilikuwa...
  7. W

    Hili daraja la Dumila hili!

    .. serikali ijipange kweli, kwani mabadiliko ya tabia nchi na hasa uharibifu mkubwa wa mazingira na maeneo mengi ya misitu kupotea kumesababisha mito mingi kubadili mwelekeo. Madaraja na miundombindu yote inatakiwa kufanyiwa tathmini ya kina.
  8. W

    Mh. Wenje umenitukania baba yangu

    hivi mipaka ya rushwa ni ipi? hizo laki tatu si ndio mpango huo huo na wote wamo ndani!!!
  9. W

    Mh. Wenje umenitukania baba yangu

    hivi mipaka ya rushwa ni ipi? hizo laki tatu si mtego huo huo na wote wamo!!
  10. W

    Madereva Wanaharibu Barabara Mpya

    .. na barabara hiyo bado haijakabidhiwa maana yake mkandarasi atakapofanya marekebusho atadai gharama nyingine tena inaweza kuwa mara kadhaa ya gharama alitoa wakati akipewa mkataba. Inawezekana moshi wa magari ama harufu ya diseli huwa ina kilevi ndio maana baadhi ya madereva vichwa vyao iko...
  11. W

    Barabara hizi za lami zitawabadili kweli wana Handeni

    Ni wilaya ya zamani lakini imedumaa katika maeneo mengi. Hizi barabara za gharama zilizo jengwa Mkata - Handeni - Korogwe zitaibadili Handeni?
  12. W

    Hizi hapa ambulance bajaj made in Mwanza, Tanzania

    hongera mbunifu. hivi umeweza kupata gharama ya hizo bajaji "ambulance"
  13. W

    Tahadhari-wizi wa ajabu Dar!

    kiukweli inasikitisha sana
  14. W

    Ajali mbaya maeneo ya Mikese, yahusisha Lori, Basi la ABC, Abood na DCM

    ajali, ajali , ajali hili ni janga. tuanze kuyatangaza magari yanayoongoza kuteketeza watu wasio na hatia!!!
Back
Top Bottom