Tahadhari-wizi wa ajabu Dar!

Tahadhari-wizi wa ajabu Dar!

inteligensia ya policcm inasubiri watu waibiwe na kudhuriwa na kemikali za sumu ndipo ianze siasa na porojo zao. wakishaibiwa watu wengi sana ndipo utaliona kova na mikengeza yake linaitisha press conference na kuwataka wananchi wawafichue wahalifu hao! na hiyo inteligensia ina kazi gani? imetunisha mishavu ofisini ikisubiri kupelekewa taarifa. i badly hate policcm.
 
am sure sio ushirikina bali ni chloroform inatumika sana mahospitali wakati wa major operation procedures..sasa ukimnusisha au mpaka mtu usoni lazima azime kwa mda kdgo

exactly! mkuu, umeniwahi--hata mi nilitaka kusema hivyo. ukinisusishwa chloroform lazima mwili u-paralize kwa muda.
 
kweli upumbavu hauna ujazo

sasa na akina kakobe utasema wanatumia nini??

Tiririka Kwa Hoja ueleweke,mbona mii nimesomeka vizuri tuu.Acha upuuzi ukitaka matusi mbona kila mwenye uwezo wa kuandika anaweza akatukana tuu,usiwe kama mpuuzi,utachekwa kwa dharau,
 
Mie nimempenda anaefanya biashara ya tigo pesa, anapata bingo la milioni tisa kwa siku na anakaa na fedha dukani akizinusanusa. Goli lake kama limekata mtaji naomba aniachie basi, tafadhali sana.
 
Maandish hayo yapo kwenye quran,unatumia damu ya njiwa kuchanganya na maandishi kwenye karatasi,ukimwagia mtu hapindui,iwe ni kumpa mkosi,Nerman au balaa.inategemea na duwa
 
Nisha anza kuhisi harufu flan.
Kuna siku katika pitapita zangu nilikutana na mkusanyiko wa watu wengi nikaona itakuwa vyema na mimi nisogee nishuhudie kinachoendelea,Nilipofika nilmkuta kijana mmoja wa kiislam akiwa na wasaidizi wake watatu.Katika eneo hilo kulikuwa na Meza na vipaza sauti,Na wingi wa umati ule walikuwa ni Waislamu katika kufika kwangu yule Bwana alikuwa anaendelea kutoa maelekezo amabpo tayari kuna vijana na wakiume walikuwa kama nane wamejipanga Mstari mmoja mbele ya yule kijna wa kiislam,Yule Kijana wa kiislam(ni mwite kiongozi)alitoa mafuta kwenye chupa akajipaka mkononi(kulia)huku mkono wa kushoto akiwa kashika mic,kiongozi huyu akamwendea mtoto moja baada ya mwingine akawa anamgusa kwenye paji la uso pamoja na maeneo ya puani huku akisema kwa sauti"majini hamna nafasi tena katika mwili wa mtoto huyu" mtoto akiguswa maeneo ya kwenye paji la uso na puani alikuwa akidodondoka kama mzigo huku wasaidizi wa yule kiongozi wakisaidia wale watoto kudondoka vizuri,alifanya hivyo kwa watoto woote nane,6 walidondoka ispokuwa wawili tuu hawakudondoka,Kiongozi akawa anawauliza mtoto mmoja baada ya mwingne "nimekusukuma" watoto karibia woote walisema hapana akasema ila walihisi nini wakajibu "kizunguzungu" sikuendelea kukaka sana pale nilianza kuondoka huku akiwataka wanaume wengine nane wajongee mbele,nikiwa naendelea kupiga hatua kwa mbali nilmsikia kiongozi huyo akitamka ni mafuta yaliyotoka mbali,yamechanganywa na maj ka sio maji basi ya mafuta ya zAmzAm,Huku akihimiza ndugu zake waislam wanunue mafuta ya hayo ili kuchangia Gharama kidogo manake mafuta hayo yame panda ndege kuletwa huku,Yametoka Arabuni na Maji yametoka kwenye kisima Cha Mtume nani sijui(manake nilikuwa nisha fika mbali)
Kwaio maaskari Uchunguzi unaweza ukaanzia Kwenye Mafuta hayo,Kwa kuwauliza waathirika wa wizi huwo hayo maji harufu yake ilikuwaje, huku wakifananisha na hayo wanayotembezaga kwenye mi hadhara.Nna wasiwasi maji au mafuta hayo yakawa na uhusiano ispokuwa wezi washa anza kuyatumia kwa manufaa mabaya.
Ni maoni yangu uki Complain sio mbaya na wewe utakuwa ni Mtizamo wako Tuu.

Yaani kila jambo lazima mhusishe na uislamu na mbona ni vita hii nchi? Unajua upande mmoja mmefundisha mabaya dhidi ya uislamu, basi tumieni hata akili muone hayo mabaya cz ukweli iko siku nasi tutachoka.. Sasa maji yanahusiana nini na uislamu? Hao hata mapadri, wachungaji wanavyotoa mapepo hamuoni wanatolea nini? Sema uislamu unaweka wazi tuuu ila nyie....
 
Yaani kila jambo lazima mhusishe na uislamu na mbona ni vita hii nchi? Unajua upande mmoja mmefundisha mabaya dhidi ya uislamu, basi tumieni hata akili muone hayo mabaya cz ukweli iko siku nasi tutachoka.. Sasa maji yanahusiana nini na uislamu? Hao hata mapadri, wachungaji wanavyotoa mapepo hamuoni wanatolea nini? Sema uislamu unaweka wazi tuuu ila nyie....

Nimeandika kile ambacho nilikishuhudia siku hiyo,si jaandika kwa nia ya kuchafua au kukusudia ubaya wa aina yeyote katika islamic religion,Na istoshe bible inanitaka nisiidharau dini ya mtu mwingine,na inanisisitiza nisijione dini yangu ipo sahihi kuliko ya wangine,Na mimi naheshimu sana maandiko.
Kwa mkuu surambaya usifadhaike sana,coz mii nimepost kile nilicho kishuhudia siku hiyo.
Hebu pitia na post ya babu kijana hapo juu yako Saa 9:04 uone anasemaje.
 
Last edited by a moderator:
Nimeandika kile ambacho nilikishuhudia siku hiyo,si jaandika kwa nia ya kuchafua au kukusudia ubaya wa aina yeyote katika islamic religion,Na istoshe bible inanitaka nisiidharau dini ya mtu mwingine,na inanisisitiza nisijione dini yangu ipo sahihi kuliko ya wangine,Na mimi naheshimu sana maandiko.
Kwa mkuu surambaya usifadhaike sana,coz mii nimepost kile nilicho kishuhudia siku hiyo.
Hebu pitia na post ya babu kijana hapo juu yako Saa 9:04 uone anasemaje.

Nadhani ulikuwa hujajua kuwa uislam uko delicate sana, you must handle it with care.

Nawapa changamoto waislam kote duniani na tanzania kipeke wapaaze sauti kulaani mauaji yanayofanywa na vikundi kama bokoharam, janjaweed, taliban n.k wanaooperate kwa jina la UISLAM.
 
Last edited by a moderator:
inteligensia ya policcm inasubiri watu waibiwe na kudhuriwa na kemikali za sumu ndipo ianze siasa na porojo zao. wakishaibiwa watu wengi sana ndipo utaliona kova na mikengeza yake linaitisha press conference na kuwataka wananchi wawafichue wahalifu hao! na hiyo inteligensia ina kazi gani? imetunisha mishavu ofisini ikisubiri kupelekewa taarifa. i badly hate policcm.


Mkuu Kalenga vipi?
 
Nadhani ulikuwa hujajua kuwa uislam uko delicate sana, you must handle it with care.

Nawapa changamoto waislam kote duniani na tanzania kipeke wapaaze sauti kulaani mauaji yanayofanywa na vikundi kama bokoharam, janjaweed, taliban n.k wanaooperate kwa jina la UISLAM.

Mkuu uislamu ni dini ya amani na utulivu na isiyotaka kuvunja amani na ubinadamu, sasa ukiona mtu anaua au kufanya jambo lolote against humanity then hapo si uislamu bali ni yeye mwenyewe..
Back to the topic, haya maji yapo kote wanayatumia sanaa kutoa mapepo au itakuwa wanatumia chloroform maana si mchezo ila chloroform si unapotea na kausingizi kanakuja au hao jamaa walioathorika walipatwa na bumbuwazi tuu?
 
am sure sio ushirikina bali ni chloroform inatumika sana mahospitali wakati wa major operation procedures..sasa ukimnusisha au mpaka mtu usoni lazima azime kwa mda kdgo

hata mimi nimehisi ni hiyo hiyo chloroform ndio wanatumia kukumwagia au kuiweka kwenye kitu uinuse

285190.jpeg


Chloroform.+The+best+pick-up+line_1b629e_3858772.jpg
 
Hivi inakuwaje hao washika vimiminika wenyewe hawadhuriki?
 
am sure sio ushirikina bali ni chloroform inatumika sana mahospitali wakati wa major operation procedures..sasa ukimnusisha au mpaka mtu usoni lazima azime kwa mda kdgo
Possible...Ccl[SUB]4[/SUB]
 
am sure sio ushirikina bali ni chloroform inatumika sana mahospitali wakati wa major operation procedures..sasa ukimnusisha au mpaka mtu usoni lazima azime kwa mda kdgo

Mkuu Chloroform haina adhari za hapo hapo naitumia sana kwa kazi zangu naijua ukiinusa au kupaka usoni itakuchukuwa muda kidogo na hasa usiku unapolala unalala sana.
 
Back
Top Bottom