Uko sahihi! Hatuhitaji Jeshi, tunahitaji serikali ya wananchi ya mpito kuturusha kwenye hii crisis!
Tabia ya JESHI ni moja tu, wakichukua nchi wananchi na serikali wote TUMESHINDWA! Na jeshi likichukua nchi HUWA HAIJULIKANI LINI WATAIREJESHA na hakuna mtu ataongea kitu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.