Recent content by wiser1

  1. W

    Wito kwa Wakazi wa Moshi: Fursa Adimu ya Kujifunza na Kufurahia Utalii wa Ndani

    Hakuna mkoa wa Moshi, ni mkoa wa Kilimanjaro!
  2. W

    Dah! Wife umenivunja moyo aisee na siamin!!

    Miaka miwili +, msamehe maisha yaendelee mbele!
  3. W

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Dkt Deus Kibamba ametoa muelekea mzuri, kamsikilize youtubu
  4. W

    Watanzania haswa vijana tusiwe "brain washed" na Mange Kimambi na wenzake huko ulaya, usitumike, mlinde mtanzania mwenzako, ilinde nchi yako

    Mnacho sahau ni kuwa “ hizi siyo enzi za Mwl Nyerere” watu wanajua wanataka nini, saa ngapi na wapi
  5. W

    Waliochochea vurugu washughulikiwe

    Kuna wakati nasoma koment za watu NAGUNDUA shida ni Dharau! Watanzania miyoyo imechoka sana
  6. W

    JWTZ tangazeni usiku huu kuchukua nchi. Enough is enough.

    Uko sahihi! Hatuhitaji Jeshi, tunahitaji serikali ya wananchi ya mpito kuturusha kwenye hii crisis! Tabia ya JESHI ni moja tu, wakichukua nchi wananchi na serikali wote TUMESHINDWA! Na jeshi likichukua nchi HUWA HAIJULIKANI LINI WATAIREJESHA na hakuna mtu ataongea kitu!
  7. W

    Usiku huu wewe na mkeo au mpenzio mko mnatumia style gani kukulana?

    Tukiwa tunaelekea siku ya tarehe 29 kuna nyuzi HAZITAKIWI KUPEWA AIRTIME!
  8. W

    Mna-save vipi pesa?

    PM nikupe ushauri wa bure kabisa! Hutojutia
  9. W

    Be very careful what you wish for!

    Uko sahihi! Wao wawepo kulinda WANANCHI SIKU TA TAREHE 29! Wananchi wanajua wanachotaka! Jeshi liwepo kuwalinda wasikutwe na chochote!
  10. W

    GE2025 Hivi haya maandamano ya tarehe 29 ni ya CHADEMA au mbona sielewi?

    Maandamani ni ya WANANCHI, CHADEMA HAIHUSIKI! CHADEMA NI WAANZILISHI WA NO REFORMS NO ELECTION, TOFAUTI NA HAPO MAANDAMANO NI YA WANANCHI!
  11. W

    VIDEO: Mjane wa Justice Rugaibula avamiwa, atolewa kwenye nyumba aliyoachiwa na mumewe pamoja na wapangaji wengine

    Case solved hii! Namuona Mh Chalamila keshafika mapema sana! Tengeneza tatiozo tatua tatizo
  12. W

    Mshana Jr...without sunglasses

    Inapendeza kukufahamu mkuu! Mungu mwema akutunze
Back
Top Bottom