Nasoma Emotional intelligence kina fikirisha sana japokuwa siyo my Fav book!
"The 7 habits of highly effective people" this is my fav. Kwanza nilipewa na M-kaka Fulani hivi, miaka 5 iliyopita na mpaka Leo hatujawahi hata kutiana maana tunapendana balaa, bahati nzuri kila mtu anafamilia yake...
Demand Vs Supply!
Wanaume kwa hili nawalaumu nyie jaman. Kuna muda mpaka najisemea wapendeni wanawake kama walivyo tu. Mnawatesa sana, wengine wanavaa vigodoro balaa wananuka kabisa, wengine mawigi, marasta ya kusuka kichwani Yani hawana kujijali, wananuka! Kisa wanaume mnapenda wenye mishepu...
Umefafanua vizuri sana, najazia hapo uzoefu na utaalamu wa Janabi, ni muhimu kuutmia tukiwa bado hatujafikia umri wa kushindwa kutembea kwasababu ya magonjwa yatokanayo na Milo mibovu.
Tusimbeze kama wanavyofanya clouds na wengine!
Ulaji mbovu wa chakula unaua sana nguvu kazi hapa Tz
Uliyeanzisha Uzi, wewe umegundua Nini? Janabi anaongea kutokana na kile anaona kwa wagonjwa wake, ni haki yake ya msingi kuzungumza na kutoa tahadhari. Kama hutaki acha, haina haja ya kudharau professional yake kwasababu zako zisizo na mashiko.
Nakushauri tu, jitahidi uwe na utaalamu uliobobea...
madarasa ya nini? muacheni mama avae ainjoi maisha tu kwasababu huku nyuma watumishi wake wa umma wanatishiwa kutokulipwa mishahara kwasababu ya PEPMIS!;
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.