Recent content by wiser1

  1. W

    Nataka kazi nimfanyie mtu malipo tutakubaliana

    Kwa Moshi, malipo utahitaji kiasi gani? kwenye stationary inayoanza?
  2. W

    Mtu kama huyu unamsaidiaje?

    Mwambie bro, usimuache akateketea!
  3. W

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Nani kakuambia atapoteza sapoti ya watanzania? Watanzania wengi tunamuelewa Makonda, na tunampa sapoti km ilivyokuwa kwa Magufuli.
  4. W

    Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

    Mwanaume? miaka 46 unampa mkeo talaka? hao watoto wataishije, acha ubinafsi ww! Leo familia acha masimango unampa talaka na mkopo kakuchukulia mfyuuu
  5. W

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Nasoma Emotional intelligence kina fikirisha sana japokuwa siyo my Fav book! "The 7 habits of highly effective people" this is my fav. Kwanza nilipewa na M-kaka Fulani hivi, miaka 5 iliyopita na mpaka Leo hatujawahi hata kutiana maana tunapendana balaa, bahati nzuri kila mtu anafamilia yake...
  6. W

    Kwanini wanawake wanaona shape ni jambo muhimu kwao wakati wanaume hawapendelei kuoa wa hivyo?

    Demand Vs Supply! Wanaume kwa hili nawalaumu nyie jaman. Kuna muda mpaka najisemea wapendeni wanawake kama walivyo tu. Mnawatesa sana, wengine wanavaa vigodoro balaa wananuka kabisa, wengine mawigi, marasta ya kusuka kichwani Yani hawana kujijali, wananuka! Kisa wanaume mnapenda wenye mishepu...
  7. W

    JamiiForums Usiku wa manane

    0026
  8. W

    Je, ni nani ana tabia kama zangu?

    TATIZO LAKO LIPO HAPO NAMBA 4. Kama unaamini uwepo wa Mungu, basi tumia muda wako kuzungumza na Mungu wako. Pole sana
  9. W

    Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

    Tunahitaji kujua zaidi ya hizi taharuki. Mambo ya kisayansi yameshika hatamu
  10. W

    Nimeamua kupaki gari nitumie usafiri wa umma

    inauzwa Bei gani sa hv hapo jijini? Nahitaji, gari nimepaki nina mwez wa pili Sasa!
  11. W

    Sikubaliani na Profesa Janabi

    kwa tafiti ipi uliyofanya unaposema bado?
  12. W

    Sikubaliani na Profesa Janabi

    Umefafanua vizuri sana, najazia hapo uzoefu na utaalamu wa Janabi, ni muhimu kuutmia tukiwa bado hatujafikia umri wa kushindwa kutembea kwasababu ya magonjwa yatokanayo na Milo mibovu. Tusimbeze kama wanavyofanya clouds na wengine! Ulaji mbovu wa chakula unaua sana nguvu kazi hapa Tz
  13. W

    Prof. Janabi unataka uwapangie watu ratiba za kula?

    Uliyeanzisha Uzi, wewe umegundua Nini? Janabi anaongea kutokana na kile anaona kwa wagonjwa wake, ni haki yake ya msingi kuzungumza na kutoa tahadhari. Kama hutaki acha, haina haja ya kudharau professional yake kwasababu zako zisizo na mashiko. Nakushauri tu, jitahidi uwe na utaalamu uliobobea...
  14. W

    Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

    madarasa ya nini? muacheni mama avae ainjoi maisha tu kwasababu huku nyuma watumishi wake wa umma wanatishiwa kutokulipwa mishahara kwasababu ya PEPMIS!;
  15. W

    Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

    POLE SANA, Mungu mkuu akuponye. Ajali ya pikipiki iliondoa uhai wa mdogo wangu mapema mno. Mungu akutunze na akuponye
Back
Top Bottom