Wakuu poleni na majukumu nnaomba kuulizia ttzo la gari ukiwa unaendesha make hi ina auto na manual. Sasa ukiwa unaendeshea upande wa auto ile gia kujibadili gari inakua kama inastuka flani hivi.
Nimeulizia baadhu ya watu wamedai nibadili gearbox oil na ushauri mbalimbali, hivyo nnakaribisha...
eeeeh mkuu nlichelewa kuiona mesej yako simu iko fresh yan miez mnne had sasa ni rangi ya gold na white simu kali kinoma yan warant nntakupa miez mi3 yan
Jana sasa ile mida ya usiku natoka zangu naelekea kuchek mpira mechi ya Chelsea na Arsenal nikapita sehm kuulizia chakula maana nlikua njaa kinoma ,kufika mgahawa washafunga lkn pemben kuna kiduka nikafika nikaketi pale kama kawa lazim usalimie ,nkampa hai muuzaj ni mdada stori mbili tatu mara...
mm niko nakula hilo tunda sasa hiv na hapa niko mapumziko kesho tukijaaliwa ntaelezea nmelipataje
maombi yenu tafadhari maana naahid sitowaangusha ngoja niipeperushe bendera vzr
hahahah hii inaonesha wazi unaelezea kitu kwa kusikia kwa watu yaani kuambiwa xaaa mkuu kama unajua Airpot wanalaza mpaka laki 3 na unatafta gari kaka kwann usichukue hahaha naww ukalaze laki 3 pale Airpot
any way natania kaka kaz ya gar kubwa ngum na hapo Airpot connection yake xio ya kitoto...
mbn simple tuu chukua kitambaa chenye maji fanya kama unaufuta mtungi wako sehem itakayokauka hapo ndna ges hakuna na itakayobaki na ibich ndio level gas ilipo
Lakini kwa ufupi
Hesabu ya kawaida
Hapa boss atatakiwa kufanya service zote kasoro ndogo ndogo kama pancha nk mbapo dereva ataleta rejesho mtakalokubaliana kwa week mbili hapa ni mkataba hapa dereva ataleta rejesho kila week na service zote atafanya yy mpka mwisho wa mkataba wenu
NB :suala la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.