Naomba kujua biashara ya Uber kwa mkataba

M-bongotz

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
1,734
405
Wakuu Salaam,

Baada ya saving za muda mrefu nimefanikiwa kununua kagari kadogo ambako nataka nikasajili kwenye biashara ya Uber. Nimeshasikia kuwa kuna utaratibu wa hesabu ya siku au Mkataba. Binafsi natamani zaidi huo mfumi wa mkataba ingawaje sina ABC's za kutosha juu ya namna unavyoendeshwa zaidi tu ya kwamba mwisho wa mkataba gari inakuwa ya dereva.

Sasa basi, ningependa kwa yeyote mwenye ufahamu zaidi anisaidie yafuatayo:

1. Dereva anakaa na gari ziku zote za wiki kwa masaa yote 24 ama kuna siku fulani katika wiki au kila siku jioni labda anapaswa kunirudishia?

2. Utaratibu wa service unakuwaje? Ni jukumu la mwenye gari pekee au ni wote wawili kwa maana ya dereva na mwenye gari mnachangia? Maana hapa naona kwa hizi installments za kila week ni kama vile umiliki wa gari unakuwa umeshahamia kwa dereva.

3. Ikitokea baada ya muda fulani dereva akavunja mkataba inakuwaje?

4. Ni mkataba wa muda gani itakuwa ideal?

5. On average, hesabu ya siku ikoje?

Natanguliza shukrani.
 
Mkuu dereva niko hapa. Very qualified.

Background yangu niliwahi kuwa traffic police hivyo vyeti na faini zisizo za lazma usijali simply bado workmate wangu wa zamani watanilinda.

Kwa maelezo zaidi, pm yangu iko wazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini kwa ufupi
Hesabu ya kawaida

Hapa boss atatakiwa kufanya service zote kasoro ndogo ndogo kama pancha nk mbapo dereva ataleta rejesho mtakalokubaliana kwa week mbili hapa ni mkataba hapa dereva ataleta rejesho kila week na service zote atafanya yy mpka mwisho wa mkataba wenu

NB :suala la kuikagua gari mtaangali hata kwa week mnakutana mara moja unaiangali nk suala la gari kulala kwa boss haifai kwan kila dereva anamuda wake wa kufanya kaz wengn usiku na wengn mchan kwa zaid mm pia nnahitah Gari iwe mkataba ama hesabu ya kawaida chek me nnajua nmeshaku PM
 
Wakuu Salaam,

Baada ya saving za muda mrefu nimefanikiwa kununua kagari kadogo ambako nataka nikasajili kwenye biashara ya Uber. Nimeshasikia kuwa kuna utaratibu wa hesabu ya siku au Mkataba. Binafsi natamani zaidi huo mfumi wa mkataba ingawaje sina ABC's za kutosha juu ya namna unavyoendeshwa zaidi tu ya kwamba mwisho wa mkataba gari inakuwa ya dereva.

Sasa basi, ningependa kwa yeyote mwenye ufahamu zaidi anisaidie yafuatayo:

1. Dereva anakaa na gari ziku zote za wiki kwa masaa yote 24 ama kuna siku fulani katika wiki au kila siku jioni labda anapaswa kunirudishia?

2. Utaratibu wa service unakuwaje? Ni jukumu la mwenye gari pekee au ni wote wawili kwa maana ya dereva na mwenye gari mnachangia? Maana hapa naona kwa hizi installments za kila week ni kama vile umiliki wa gari unakuwa umeshahamia kwa dereva.

3. Ikitokea baada ya muda fulani dereva akavunja mkataba inakuwaje?

4. Ni mkataba wa muda gani itakuwa ideal?

5. On average, hesabu ya siku ikoje?

Natanguliza shukrani.
lkn kwa ufupi
hesabu ya kawaida
hapa boss atatakiwa kufanya service zote kasoro ndogo ndogo kama pancha nk
ambapo dereva ataleta rejesho mtakalokubaliana kwa week
mbili hapa ni mkataba
hapa dereva ataleta rejesho kila week na service zote atafanya yy mpka mwisho wa mkataba wenu

nb :suala la kuikagua gari mtaangali hata kwa week mnakutana mara moja unaiangali nk suala la gari kulala kwa boss haifai kwan kila dereva anamuda wake wa kufanya kaz wengn usiku na wengn mchan
kwa zaid mm pia nnahitah Gari iwe mkataba ama hesabu ya kawaida chek me nnajua nmeshaku PM
Hizi biashara za kubeba watu inabd kuwa makin vinginevyo utabeba majambazi ama yakuibie Gari au uchanganywe kuwa na ww jambazi. Mpaka ije kujulikana ushasota Sana Segerea miaka 5
 
Wakuu Salaam,

Baada ya saving za muda mrefu nimefanikiwa kununua kagari kadogo ambako nataka nikasajili kwenye biashara ya Uber. Nimeshasikia kuwa kuna utaratibu wa hesabu ya siku au Mkataba. Binafsi natamani zaidi huo mfumi wa mkataba ingawaje sina ABC's za kutosha juu ya namna unavyoendeshwa zaidi tu ya kwamba mwisho wa mkataba gari inakuwa ya dereva.

Sasa basi, ningependa kwa yeyote mwenye ufahamu zaidi anisaidie yafuatayo:

1. Dereva anakaa na gari ziku zote za wiki kwa masaa yote 24 ama kuna siku fulani katika wiki au kila siku jioni labda anapaswa kunirudishia?

2. Utaratibu wa service unakuwaje? Ni jukumu la mwenye gari pekee au ni wote wawili kwa maana ya dereva na mwenye gari mnachangia? Maana hapa naona kwa hizi installments za kila week ni kama vile umiliki wa gari unakuwa umeshahamia kwa dereva.

3. Ikitokea baada ya muda fulani dereva akavunja mkataba inakuwaje?

4. Ni mkataba wa muda gani itakuwa ideal?

5. On average, hesabu ya siku ikoje?

Natanguliza shukrani.
Za asubuhi mkuu ushapata dereva kama ujapata naomba unicheck kwa no hii 0715715385 tuyajenge
 
Back
Top Bottom