Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,642
- 18,643
Jamaa kawakimbia TRA, maana wanaweza kumshtaki kwa uhujumu uchumi na money laundering..Mtanzania, anauzia UK mfumo wa kuja kutusambazia waafrika gesi, tena wanakabidhiana pesa Nairobi, mimi naona ni kama aibu kwa nchi yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app