Recent content by Wisdom

  1. Wisdom

    JamiiForums Tanzania RECORD: Jumla ya Digital X-Ray Mpya 400, CT-Scans mpya 33, MRI mpya 9 na PET Scan moja kwaaji ya Saratani zimenunuliwa ndani ya miaka minne tu

    Katoa pesa zake mfukoni? Nyie ndo mnaomharibu Rais kwa kumtaja hata pasipostahili. Kwa mtindo huu tukisema Rais katoa pesa kafanya hiki maana yake hata deni tusiliite la nchi tuseme deni limekua sana kwa sababu Rais amekopa sana
  2. Wisdom

    JamiiForums Tanzania Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

    Huyu jamaa ni either muongo au hajui alichokiandika. Sitaki nikuchoshe na Doctrine of scriptures ila nitakupa kipande kidogo kusaidia uelewa wako. Kwa Nini Biblia Inaweza Kuaminika? 1. Uhalisia wa Kihistoria – Matukio, maeneo, na watu waliotajwa katika Biblia yamethibitishwa na uchunguzi wa...
  3. Wisdom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania JKT Tanzania, TAKUKURU na Bodi ya Ligi ichunguze bank account na kumhoji mchezaji Mohamed Bakari

    Mashabiki wa Yanga mmeumia kuliko mashabiki, wachezaji na viongozi wa JKT Tanzania. Pole sana
  4. Wisdom

    JamiiForums Tanzania Nataka niandae pambano la kushindanisha nguvu kati ya walokole vs waganga, wachawi, na waotumia nguvu za giza

    Kama wewe ni msomaji wa Biblia mapambano ya hivyo yalishafanyika. 1. Musa na Haruni VS Janess na Jembres (wale wachawi wa Farao) na Musa na Haruni walishinda 2. Elia VS wachawi wa Baali Upande mmoja kulikuwa na wachawi na waganga 890 na upande mmoja Nabii Elia na mechi iliishakwa Elia nabii wa...
  5. Wisdom

    JamiiForums Tanzania Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

    Kuna vitu nashindwa kuelewa kuhusu Waislam! 1. Kwa nini wanalazimisha Issa wao ndo Yesu wa Biblia wakati ni tofauti kabisa? 2. Kwa nini wanalazimisha kuwa Yehova ndo Allah? Pia; 1. Kama pombe ni haram hapa duniani kwa nini wanaahidiwa pombe ahera? 2. Kama uzinzi ni dhambi hapa duniani kwa nini...
  6. Wisdom

    JamiiForums Tanzania Ukristo umejengwa juu ya msingi wa Roman Catholic. Ipo Dominant kwa zaidi ya miaka 2000

    Inawezekana hujui historia au Biblia unaisoma kama kitabu cha hadithi au umekaririshwa. Tuanze taratibu. Kanisa la kwanza lilianzia wapi na nini zilikuwa sifa zake? Kanisa la kwanza lilianza waliambiwa wasubiri na siku Roho Mtakatifu alipowashukia (Siku ya Pentecost) na walinena kwa lugha wote...
  7. Wisdom

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Good morning Vodacom Tanzania, nataka kujua mnafanya roaming na nchi gani za Afrika mashariki? Ninataka kutembelea Rwanda, Burundi na Uganda hivyo itakuwa busara zaidi nikijua ni wapi niendelee kujidai na Vodacom na ni wapi nikanunue sim card?
  8. Wisdom

    JamiiForums Tanzania Waimbaji nyimbo za injili wanakera sana

    Siamini katika falsafa ya kutoleana maneno ya kejeli ila ninachoweza kukuambia ni kuwa umekariri na unakosa "exposure". Kwa taarifa tu ni kuwa vazi rasmi la wanaume nchini Scotland ni sketi, kwa hiyo usikariri ukafikiri nchi zote ziko kama ya kwako!
  9. Wisdom

    JamiiForums Tanzania ist nisaidie inakula mafuta zaidi ya kawaida

    plugs na nimesafisha nozels Maelezo yako yanajikanganya hakuna gari yenye spark plugs na nozzles kwa wakati mmoja labda ufafanue ulikuwa unamaanisha nini?
  10. Wisdom

    JamiiForums Tanzania Maandiko kama haya yana maana gani?

    Kwa akili ya kawaida unaweza ukagikiri Biblia imejichanganya la hasha, unajua hofu huwa inaondoa uwepo wa Mungu katika maisha ya wanadamu na uwepo wake ukiondoka Mungu hawezi kukubariki. Huu mstari haumaanishi kuwa usifanye kazi bali unamaanisha fanya kazi ya halali kwa kutumia mikono yako na...
  11. Wisdom

    JamiiForums Tanzania Nini Ambacho Familia ya Mandela Imeficha Ulimwengu Katika Hatua ya Mwisho ya Mazishi

    Kazikwa pamoja na mtu ambaye yuko hai ndo mila inavyotaka lakini kwenye public eye wamesema anazikwa na ng'ombe dume!
  12. Wisdom

    JamiiForums Tanzania TRA inanuka rushwa (tafadhali serikali wachunguze wafanyakazi wa idara hii)

    Ni nani alikuambia kujenga nyumba au kuwa tajiri kunategemea ukubwa wa mshahara? Kitu cha muhimu ni discipline ya hela tu wala si kiasi cha hela kinachoingia. Ntakupa mifano: 1. Kuna afisa mmoja wa Benku kuu ya Tanzania analipwa mshahara wa TZS 6M na point kadhaa achilia mbali marupurupu...
  13. Wisdom

    JamiiForums Tanzania Mashtaka ya ugaidi Tabora yafutiliwa mbali, Henry Kilewo na wenzake 4 huru kwa tuhuma hizo

    Wewe siyo mzima lakini statement yako imenifanya niujue zaidi ukuu wa Mungu kuwa katika kuumba katuumba watu wenye akili timamu na mapompompo kama wewe!
  14. Wisdom

    JamiiForums Tanzania Milipuko huko kigamboni

    Siyo Kigamboni ni hapa maeneo ya Namanga wanalipua baruti ila sijajua ni kwa sababu gani.
  15. Wisdom

    JamiiForums Tanzania Food for thought! Economic growth ‘not same as economic development’

    For the past 10 years, Tanzania has been proudly announcing promising growthfigures released by the World Bank and International Monetary Fund.Statistics show that Tanzania's economy has been growingat the rate of 6-7 per cent for about a decade now.Economically speaking, 6-7 per cent is an...
Back
Top Bottom