Katoa pesa zake mfukoni?
Nyie ndo mnaomharibu Rais kwa kumtaja hata pasipostahili.
Kwa mtindo huu tukisema Rais katoa pesa kafanya hiki maana yake hata deni tusiliite la nchi tuseme deni limekua sana kwa sababu Rais amekopa sana
Huyu jamaa ni either muongo au hajui alichokiandika.
Sitaki nikuchoshe na Doctrine of scriptures ila nitakupa kipande kidogo kusaidia uelewa wako.
Kwa Nini Biblia Inaweza Kuaminika?
1. Uhalisia wa Kihistoria – Matukio, maeneo, na watu waliotajwa katika Biblia yamethibitishwa na uchunguzi wa...
Kama wewe ni msomaji wa Biblia mapambano ya hivyo yalishafanyika.
1. Musa na Haruni VS Janess na Jembres (wale wachawi wa Farao) na Musa na Haruni walishinda
2. Elia VS wachawi wa Baali
Upande mmoja kulikuwa na wachawi na waganga 890 na upande mmoja Nabii Elia na mechi iliishakwa Elia nabii wa...
Kuna vitu nashindwa kuelewa kuhusu Waislam!
1. Kwa nini wanalazimisha Issa wao ndo Yesu wa Biblia wakati ni tofauti kabisa?
2. Kwa nini wanalazimisha kuwa Yehova ndo Allah?
Pia;
1. Kama pombe ni haram hapa duniani kwa nini wanaahidiwa pombe ahera?
2. Kama uzinzi ni dhambi hapa duniani kwa nini...
Inawezekana hujui historia au Biblia unaisoma kama kitabu cha hadithi au umekaririshwa.
Tuanze taratibu.
Kanisa la kwanza lilianzia wapi na nini zilikuwa sifa zake?
Kanisa la kwanza lilianza waliambiwa wasubiri na siku Roho Mtakatifu alipowashukia (Siku ya Pentecost) na walinena kwa lugha wote...
Good morning Vodacom Tanzania, nataka kujua mnafanya roaming na nchi gani za Afrika mashariki? Ninataka kutembelea Rwanda, Burundi na Uganda hivyo itakuwa busara zaidi nikijua ni wapi niendelee kujidai na Vodacom na ni wapi nikanunue sim card?
Siamini katika falsafa ya kutoleana maneno ya kejeli ila ninachoweza kukuambia ni kuwa umekariri na unakosa "exposure". Kwa taarifa tu ni kuwa vazi rasmi la wanaume nchini Scotland ni sketi, kwa hiyo usikariri ukafikiri nchi zote ziko kama ya kwako!
plugs na nimesafisha nozels
Maelezo yako yanajikanganya hakuna gari yenye spark plugs na nozzles kwa wakati mmoja labda ufafanue ulikuwa unamaanisha nini?
Kwa akili ya kawaida unaweza ukagikiri Biblia imejichanganya la hasha, unajua hofu huwa inaondoa uwepo wa Mungu katika maisha ya wanadamu na uwepo wake ukiondoka Mungu hawezi kukubariki. Huu mstari haumaanishi kuwa usifanye kazi bali unamaanisha fanya kazi ya halali kwa kutumia mikono yako na...
Ni nani alikuambia kujenga nyumba au kuwa tajiri kunategemea ukubwa wa mshahara? Kitu cha muhimu ni discipline ya hela tu wala si kiasi cha hela kinachoingia.
Ntakupa mifano:
1. Kuna afisa mmoja wa Benku kuu ya Tanzania analipwa mshahara wa TZS 6M na point kadhaa achilia mbali marupurupu...
Wewe siyo mzima lakini statement yako imenifanya niujue zaidi ukuu wa Mungu kuwa katika kuumba katuumba watu wenye akili timamu na mapompompo kama wewe!
For the past 10 years, Tanzania has been proudly announcing promising growthfigures released by the World Bank and International Monetary Fund.Statistics show that Tanzania's economy has been growingat the rate of 6-7 per cent for about a decade now.Economically speaking, 6-7 per cent is an...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.