Pole Sana. Usikate tamaa wala usijilaumu. Kwa kawaida masomo hayapimiki popote na Hakuna anayeulizia hayo. MTIHANI Ndiyo humpima mtu.
My take Chukua muda zungumza naye na wala usiwahi huwaza kuondoka until you prove he can't change
Kuna kipindi Mungai akiwa waziri wa Elimu aliunganisha baadhi ya masomo. Baadaye Yale masomo ya chemistry na physics yakatenganishwa tena.
Baada ya kutenganisha kylitoka Waraka naombeni mnisaidie Waraka ule ni namba ngapi na wa mwaka gani...
Pili Najaribu kutafuta mtaala wa elimu ya sekondari...
Habarini jamani. kwanza nishukuru uwepo wa jukwaa hili.
naombeni msaada juu ya ubora wa gari aina ya NOAH VOX.
napenda kujua ukimiliki gari kama hili unapaswa kulileaje, ni nini unapaswa kufanyika ili idumu.
na ni mambo gani yanauwa sana au kudhoofisha gari hizi. Asanteni naomba kuwasilisha
mtoa mada amenigusa jamani! sijui ni kwa nini wadada wengi hawapendi wanaume wapolewapole! cha ajabu hata kama wanajua jamaa amewazalisha wengine kadhaa na kuwaacha wanaingia tu! akiwaomba mwenye mapenzi mema na ya kudumu wanamutupa kule! hii kitu huwa pia najiuliza sana! I DON'T KNOW WHAT...
hii nimeipenda ni kweli kabisa kila kila eva ana adamu wake na kama ni ubavu basi kila ubavu una saizi yake! ukikosea tu unaweza pwaya ama ukalegea na kutumbukia!maisha ya ndoa yana changamoto kubwa! na pengine kiza tulichowekewa na uvivu wa kuomba na kushindwa kuvumilia ni sababu ya kupata...
Alafu sijui neno " HAYA" ni msamiati tuu au bado kuna watu wanazo haya?? unakuja JF tena MMU! halafu unahitimisha wewe ni mwanafunzi!!!
tena anakili ameanza kupenda akiwa o level!
hii yote ni kwa sababu sasa hivi MWALIMU hajiuhusishi na malezi! eti kazi yake ni kufundisha tu! REALLY??
haya...
wanawake huwa hawapendi! but they have something called Lust! they can accept whoever they manage to meet and whoever speaks about love!
men do love women have lust!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.