Wasichana hamjitambui

Wasichana hamjitambui

Hawa wapole sijui wakimya wanakuwaga too slow hata kwenye maisha ... unakuta ukitoka hata hakuulizi unarudi saa ngapi, kuulizwa napo kunaleta ashki ;-)
 
Hivi mnaona mwanamke kuzaa ni tatizo?ni mzigo? Wenye mawazo ya hivi sijui mnakuaga wagumba....


Hujamwelewa huyo jamaa. Suala hapa si kuzaa, ila kuzaa watoto kadhaa kila mmoja akiwa na baba yake. Unafikiri unampa mawazo gani mwanamme kuwa na watoto 4 na kila mmoja ana baba yake?
 
Hujamwelewa huyo jamaa. Suala hapa si kuzaa, ila kuzaa watoto kadhaa kila mmoja akiwa na baba yake. Unafikiri unampa mawazo gani mwanamme kuwa na watoto 4 na kila mmoja ana baba yake?
Kuna kuzaa baba mtoto akafariki, mnaweza kushindwana n.k n.k
pia sidhani kama kuna mtu anapenda kuzaa na watu tofauti tofauti
 
mtoa mada amenigusa jamani! sijui ni kwa nini wadada wengi hawapendi wanaume wapolewapole! cha ajabu hata kama wanajua jamaa amewazalisha wengine kadhaa na kuwaacha wanaingia tu! akiwaomba mwenye mapenzi mema na ya kudumu wanamutupa kule! hii kitu huwa pia najiuliza sana! I DON'T KNOW WHAT WOMEN LIKE AND WANT FROM MEN!
 
ila sometimes mwanamke anakuwa hajavutiwa na huyo mwanaume so called (mwanaume mpole) na sio kwamba anamkataa kwasababu ya upole wake, na pia hao players huwa wanakataliwa mara nyingi tu kuliko unavofikiria, sema 2 wanaonekana kama wanapendwa na mademu bcoz wapo social mwakibolo
 
Last edited by a moderator:
Sory nitakaowaudhi ila wanawake wanaboa,

Utakuta wanawakataa watu wapole wema wanakuja wawaoe, wanaleta mapozi wanaringa. Wanashobokea vibitozi, wauza sura,au watu waongo wanaodanganya wanakuja kujijua mda umeenda washachezewa mwishowe wanazalishwa tu wa kuwaoa hawawaoni tena.

mi pia nipo kwenye hiyo movie, lakini sijui itaishaje!
 
Kuna kuzaa baba mtoto akafariki, mnaweza kushindwana n.k n.k
pia sidhani kama kuna mtu anapenda kuzaa na watu tofauti tofauti


Kuzaa na baba mtoto akafariki kupo, ila kuna wanawake wengi tu wamezaa watoto kadhaa kimakusudi na wanaume tofauti tofauti kisha mwanamke huyo huyo analalamika eti aolewi na kuanza kutafuta waume wa rafiki zake. Wapo hapa mitaani tunawaona. Jipangeni, mwanamke wa dizaini hii atabaki kuchezewa tu kwani hakuna mwanamme apendaye mwanamke wa namna hii. Think mwanamme unampeleka mwanamke wa namna hii nyumbani kwenu kuona wazazi akiwa na watoto 4 kila mmoja na baba yake, unafikiri wazazi wako watasemaje?
 
Sory nitakaowaudhi ila wanawake wanaboa,

Utakuta wanawakataa watu wapole wema wanakuja wawaoe, wanaleta mapozi wanaringa. Wanashobokea vibitozi, wauza sura,au watu waongo wanaodanganya wanakuja kujijua mda umeenda washachezewa mwishowe wanazalishwa tu wa kuwaoa hawawaoni tena.
Wanawake wanawataka hao mabitozi, hawawaoi na wale wapole wanaotaka kuwaoa wanawake hawawataki. Kwa hiyo wanaolewa na nani sasa?
 
Hahahaaaaa!!! Wapole hadi kitandani.
 
Sory nitakaowaudhi ila wanawake wanaboa,

Utakuta wanawakataa watu wapole wema wanakuja wawaoe, wanaleta mapozi wanaringa. Wanashobokea vibitozi, wauza sura,au watu waongo wanaodanganya wanakuja kujijua mda umeenda washachezewa mwishowe wanazalishwa tu wa kuwaoa hawawaoni tena.

Kipenda roho hula nyama mbichi
 
Back
Top Bottom