Abaki kuwa mwakilishi wa wananchi coz hata pinda tulimwamin na akajiita mtoto wa mkulima but anachofanya sahivi ni tofauti kabisa. Naona huo wadhifa alionao ndo mzuri sana kuliko hata uwaziri.
Wewe hujielewi na wala hutakaa uelimike maana hujui jinsi watanzania tunavyopata adha coz of this ministry, ukiambiwa utoe ushahidi wa jinsi zitto anatafuna hizo hela utaweza?acha kupayuka, au na wewe ni 'gamba' maana mnateteana sana, inawezekana wewe si Mtanzania.
Nape haelew na wala hajielew' kwake yeye kila mtu anayeona chama hakifai na kuamua kuondoka anamwona alikuwa 'MZIGO' au 'GAMBA' hataki kuheshimu mawazo yao, namhakikishia ipo siku atakubali wamekufa na siku zenyewe si nyingi.Hao watu mil6 anaosema amewasahau waliowapinga kule Igunga?ambapo...
Unajua mkuu huyu Rais haelewi majukum yake kama mkuu wa nchi na hiyo itamgarim sana na chama chake, anajua ameshindwa ila hataki kukubali lakin asubirie amalize muda wake aondoke huko ikulu awapishe wengine wamuonyeshe nchi inavyotawaliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.