Losomich
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 371
- 71
uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.
Acha mipasho wewe, hao wanaokutuma kama wanaushahidi wa Zitto kuzitavuna hela za Barick kwa nini nao wazipeleke hoja bungeni kumuumbua kama Zitto naye anavyowaumbua? Mwaka huu Zitto ataendelea kuwapasha magamba moto mpaka mnyonyoke wote.