Hana mawazo yoyote juu ya nchi yetu. Yuko Brazil kuzungumza na Maximo na kukagua ulimaji wa mchicha, akitoka huko huyooo kuzika kama baraza litakuwa halijaingia mchanga...japo kuwa hilo si tatizo lake...kutimiza malengo binafsi.
Lakini Mkuu anatakiwa kufikiria ingawaje kidogo machungu ya uchumi yanayo wakabili Watanzania!!!! Kweli Mkulu anatakiwa awe na huruma na watu wake hata kidogo, awapunguziwe machungu na ukali wa maisha ya kila siku!!!!!Hana mawazo yoyote juu ya nchi yetu. Yuko Brazil kuzungumza na Maximo na kukagua ulimaji wa mchicha, akitoka huko huyooo kuzika kama baraza litakuwa halijaingia mchanga...japo kuwa hilo si tatizo lake
Nchi yetu inazama kwenye lindi la umasikini yeye kakaa kimya tuu???????? Wizi unaendelea kama vila hakuna wa kujali, kuanzia kwenye halimashauri hadi wizarani, sasa wabunge na mawaziri wanaparulana Mkuu sijui hayupo au vipi yeye ni kimya tuu vipi?????
Lakini tunaona wenyewe kwa macho, bunge wanaparulana waziri mkuu anatakiwa ajiudhulu yeye huyooooo Malawi kuzika Bingu wa Muthalika!!!! Kwani imeshindikana kutuma mwakilishi yeye akashughulikia hayo maswala ya utawala kitaifa???????????2010 tulionya,kuwa kumchagua JK ni maafa,na yametimia