Kuumizwa kimapenzi ni njia mojawapo ya kukomaa katika game, kuumizwa kunakupa mwanga wa mapungufu na thamani yake. Kama kakuumiza bila sababu inakusaidia kukupa thamani yako na penzi lako kiasi kwamba hata akitokea mwingine ukamtunuku akakuenzi utamuheshimu na kumthamini daima. Ila kama hujawahi kuumizwa we bado ni mwanafunzi.
Samahani kunena hayo but kwangu imenisaidia sana ................na usiombe mkakutana wawili ambao mlishajeruhiwa mkaumizwa kimapenzi mkajitambua! Pepo mtaifaidi hapa hapa duniani
asiyekua na moyo ndio haumii.
swali:mwanamke ana moyo au hana.
:mwanaume ana moyo au hana.
Kuumizwa kimapenzi ni njia mojawapo ya kukomaa katika game, kuumizwa kunakupa mwanga wa mapungufu na thamani yake. Kama kakuumiza bila sababu inakusaidia kukupa thamani yako na penzi lako kiasi kwamba hata akitokea mwingine ukamtunuku akakuenzi utamuheshimu na kumthamini daima. Ila kama hujawahi kuumizwa we bado ni mwanafunzi.
Samahani kunena hayo but kwangu imenisaidia sana ................na usiombe mkakutana wawili ambao mlishajeruhiwa mkaumizwa kimapenzi mkajitambua! Pepo mtaifaidi hapa hapa duniani
Wote tu wanaumiza, lakini...usikubali kuumia mara mbili, kuumia ni mara moja inakuwa shule yako. Unatumia akili sasa kupambana na huu
msimiati wa mapenzi, ukiona mahali kuna kuumia unakaa pembeni fasta, ukiona unapenda halafu hapaendiki unamuomba Mungu akusaidie, kuepuka mtego wa kuumia na kudhalilika.
Sawa eeh...ila ni wote tu wanaumia kila mtu kwa jinsi yake, as wote wana mioyo ya nyama.