Unadhani Filiku-Njombe anastahili wadhifa gani?

Abaki kuwa mwakilishi wa wananchi coz hata pinda tulimwamin na akajiita mtoto wa mkulima but anachofanya sahivi ni tofauti kabisa. Naona huo wadhifa alionao ndo mzuri sana kuliko hata uwaziri.
 
Back
Top Bottom