Recent content by Wingu Jeusi

  1. Wingu Jeusi

    SoC01 Simulizi: Misingi ya Demokrasia

    "Ni hatari mno kuukabidhi uongozi wa kitu nyeti kama nchi mikononi mwa mtu mwenye uchu, ujivuni na ubinafsi unaoweza kumfanya aamini yeye anapaswa kuwa juu ya kila kitu bila kujali misingi na taratibu tulizojiwekea. Kwani hili ni taifa linalopaswa kuongozwa kwa misingi ya DEMOKRASIA". Kwa! Kwa...
  2. Wingu Jeusi

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hapo jumla ya matokeo yawe namba inayogawanyika kwa 2
  3. Wingu Jeusi

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Wazee, kwa mhitaji wa Itel T12 wiki mbili kiganjani na katika hali nzuri kabisa inauzwa kutokana na dharura. Dsm Mwenye hitaji na ubora wa bei nafuu kulingana na urefu wa kamba ya mhusika anicheki inbox kwa ajili ya maelezo ya ziada na picha kama atahitaji. 90k haishuki hii labda kuongezeka...
  4. Wingu Jeusi

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Itakuwa ameiosha na yenyewe ikawa smart[emoji23][emoji23]
  5. Wingu Jeusi

    Come dine with me

    Kama uko serious na hii kitu, nicheki tuseme vema kidogo mpendwa. Maana siku hizi humu chai kibao sana
  6. Wingu Jeusi

    Hii ni mahsusi kwa ajili ya wanaume

    Si huwa anasema usipoelewa anarudisha ada? Na hautaelewa tena labda ukazaliwe tena huko Uingereza? Sasa Mimi napataka hapo pa kuzaliwa Uingereza asee[emoji16][emoji16]
  7. Wingu Jeusi

    Hii ni mahsusi kwa ajili ya wanaume

    Mwenye namba ya Ras Simba tafadhali, kuna vitu vinanichanganya hapa maana kidhungu nayo haitaki ufundi mwingi[emoji23][emoji23]
  8. Wingu Jeusi

    Kwa hali hii, Je mimi ni Genius??

    Una uwezo Wa kuandika haraka bila kukosea ilhali hili andiko tu lenyewe umekoseakosea sehemu nyingi tu. Nadhani uongeze paragraph nyingine kuwa... "Nina uwezo Wa kuandika kwa kukoseakosea bila kujua kama nimekosea" [emoji3][emoji3]
  9. Wingu Jeusi

    Mavazi Stahiki kwa Kuzingatia Kimo na Rangi

    Pigo za Mpoto ni safi sana kwa wote. #Dumishatamaduni
  10. Wingu Jeusi

    Nimemkuta Mpenzi wangu na vitu nisivyovielewa, naomba msaada wenu kuvielewa

    [emoji23] [emoji23] Kama nakuelewa hivi ndugu afisa misitu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Wingu Jeusi

    Peniela (Story ya kijasusi)

    Fukunyua huu uzi kuanzia post ya kwanza uendelee kutiririka Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Wingu Jeusi

    Eti hapa kuna ukweli wowote kwamba.............

    Umenimaliza, Hahaha!! Kumbe huwa zinawapa tabu?
  13. Wingu Jeusi

    Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

    Kihuba Msikilize Mtaalamu Elli, maana yeye baada ya kuona uzi wako tu akaamua akafanye utafuti kwanza na hatumaye karudi na hiki. Nadhani hapaswi kupuuzwa Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Wingu Jeusi

    Eti hapa kuna ukweli wowote kwamba.............

    Miss Chagga [emoji119] Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom