Recent content by Wimana

  1. W

    Hivi haiwezekani kwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja maisha yake yote?

    Just google, you will get a perfect answer.
  2. W

    Hivi haiwezekani kwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja maisha yake yote?

    Hivi kila mtu akiandikwa ndani ya Vitabu vitakatifu lazima awe Mtume au Nabii? Yaweza kuwa kwa vitabu vingine but not in the Bible!
  3. W

    Hivi haiwezekani kwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja maisha yake yote?

    Inawezekana sana na wapo wanaume ambao wametulia na waume zao. Tatizo lako umechukua sampuli moja tu kwa mume wa rafiki yako na kuhitimisha kuwa wanaume wote wako hivyo. Lakini pia kuna andiuko kwenye Biblia linasema mwanmke atamlinda mwanaume.
  4. W

    TAHADHARI: Naliona giza nene kwenye mradi wa bomba la mafuta kwa Tanzania, tumejipangaje?

    You have said it all kiongozi. Suala la Tanzania kugundua mafuta ni suala la muda tu maana mafuta ni dhahiri kuwa yapo. Ukiangalia Jiografia ya mahala Uganda na Kenya wamevumbua mafuta ni kwenye Bonde la Ufa la Magharibi kwa upande wa Uganda ambalo limepita Ziwa Rukwa na Ziwa Tanganyika hadi...
  5. W

    Zilizovuja: Serikali ilifungua akaunti mpya ya siri ya Escrow yenye harufu ya kifisadi

    Hili suala halina tofauti na EPA nk, wanatengeneza madili kupata pesa za kampenikwa chama chao na nyingin wajanja wanaziingiza mifukoni.
  6. W

    Ujenzi wa Nyumba: Je, ninaweza kujenga kanyumba kadogo kazuri kwa bajeti ya Mil. 6!?

    Mkuu, tujenzi kwa kutumia tofali za kuchoma labda mikoani , tena kwenye miji midogo, kwenye miji mikubwa ujenzi kwa kutumia matofali ya kuchoma ni gharama zaidi. BTW tofali za kuchoma Dar zinapatikana wapi?
  7. W

    Dar: Wilson Kabwe anasa kwa Mkuu wa Mkoa, Makonda

    Huyo Mzee wamemchoka baada ya kushindwa kuwasaidia CCM kwenye sakata la Umeya. Kabwe alishindwa kufanya kama kile alichofanya DED wa Tanga.
  8. W

    Mtoto wa Shekhe Yahaya akiongelea Majini

    Duh, wewe ndio Muislamu wa kwanza kukubali kuwa Majini ni Mashetwani, Waislamu wengi hawaamini hilo, hongera mama, hauko mbali sana na Ufalme wa Mungu.
  9. W

    Mtoto wa Shekhe Yahaya akiongelea Majini

    Huna haja ya kutazama Miss Chaga, jamaa anafundisha uchawi live.
  10. W

    Mohamed Said acha upotoshaji wa makusudi

    Mzee Mohammed huwa anasisimkwa sana pindipo apatapo habari za siasa zinazogusa dini yake. Hii mihemko ya siasa-dini ndio itasababisha anguko la heshima yake humu JF na nchini mwote, Mzee ame-specialize kwenye utetezi na uzengezi wa kidini mno kiasi cha kuamini kila jambo linalohusu uonevu dhidi...
  11. W

    Mali za Marais wastaafu Mkapa na Kikwete zimetoka wapi?

    Lizaboni, hizo safari ndio ulikuwa wizi halali, faida ya hizo safari ambazo ni rekodi mpya Tanzania yaweza kuwa pungufu hatra ya 25%, yaani hizo safari zilikuwa kwa ajili ya maslahi yake binafsi tu.
  12. W

    Bomba la Gas kuna chenji ilibaki?

    Mkuu hebu tuwekee chanzo cha gharama za bomba la Gesi la Mtwara Dar kwanza ndipo tuwe fair kwenye kufanya comparison. Nakumbuka kuna wakati Mbowe au Zitto aliwahi kusema gharama za ujenzio wa bomba la gesi zimezidishwa (inflated). Kama ni kweli gharama za Bomba la Mafuta ni chini ya gharama za...
  13. W

    Mrejesho: Dada wa kazi akimweleza mume wangu siri hii, sina ndoa tena

    Huyo hajaacha na wakikutana tena na huyo ex wake, huenda wakarudia tena, inaonekana huyo dada ni sikio la kufa.
Back
Top Bottom