Recent content by wilson upunda

  1. wilson upunda

    Wasifu(CV) wa Ndg. Hudson Kamoga

    Hilo nalo neno.. Hata mm sijaelewa.
  2. wilson upunda

    Wachungaji wa Kike na Wahubiri wengine mnasemaje kuhusu kifungu hiki cha Biblia Takatifu?

    Wapi nguruwe karuhusiwa kuliwa agano jipya.. Au ndio kushindwa kutafsiri maandiko.
  3. wilson upunda

    Ni wakati, kumpigia magoti JK

    Misaada na mikopo pengine vilisaidia na Pombe hajapenda saana misaada.
  4. wilson upunda

    Mtu mwenye DDE PCB anaweza pata MD au Nursing degree?

    Msipende saana njia fupi kama mambo hayajakaa vizuri!! Mfn mm nilichukua diploma, nikapiga kazi kwa muda na sasa nachukua MD, fedha za mkopo na mshahara vyote vinanihusu.. Team no stress.
  5. wilson upunda

    Mtu mwenye DDE PCB anaweza pata MD au Nursing degree?

    Unatumia cheti cha ordinary level( form four) na sio cha advance.
  6. wilson upunda

    Dr. Rioba wa TBC Unahujumu Serikali, sikujua kama ungekuwa hivi

    Yote yanamwisho haya.. Tusubiri kama wataendelea na hako kamchezo hadi awamu yao ya uongozi iishe.
  7. wilson upunda

    Ukitumia ARV'S unaweza kusukuma siku adi miaka mingapi?

    Huyu jamaa ni shiiida!!! Tafadhali endeleeni kuamini kuwa VVU vipo.
  8. wilson upunda

    Tatizo la kutokupiz linasababishwa na nini hasa?

    Hiyo bila kupiz siku nzima..ina raha yake ukipata mzigo hasa mpya.
  9. wilson upunda

    Kwanini watu wanaogopa kupima VVU?

    Hadithi inaonesha jamaa alishajikubali kabla hajaenda kupima..hospital alifuata taratibu tu zilizopo! Apunguze kujitapa!! Kupima na kujikubali ni jambo pana na sio kirahisi hivyo kam jamaa alivyotiririka kwenye story.
  10. wilson upunda

    Msaada dawa ya kukata bleed

    Nijuavyo mm, unashauriwa kula vidonge vya uzazi kwa siku kama 12 hiv ili kurekebisha siku kisha unaacha hivyo vidonge..Hila jamani haya madude sio mazuri kwa afya Tumia kondomu na kalenda, mweeh!!
  11. wilson upunda

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Amitryptilline ni dawa nzuri unameza usiku tu kwa wiki kama mbili hivi ili urekebishe hiyo circadian rythism hila kama inshu ni stress!!! Vinginevyo ni kama ifuatavyo usile chakula kizito usiku, Fanya shughuli nyepesi mno usiku kama vile kusoma kitabu..usiangalie TV au movie unayoipenda usiku au...
  12. wilson upunda

    Kutokuwa na hamu na mpnz wangu

    Sometimes mapenz yanaendana na harufu.. Ukiizoea harufu Fulani inatoa mvuto ndio maana haifai tena.. Usijaribu pia kumfananisha mkeo na totoz zingine zenye mvuto, atakosa mvuto kwako..usipende kushinda home muda woote..ni rahisi kutofautiana Mara kwa Mara kisha inaleta visirani! Zaidi ya yote...
  13. wilson upunda

    Kutumia mkono wa kulia

    Left handed wapo vizuri mno..ni inshu ya ubongo, wengi ni intelligent.
  14. wilson upunda

    Msaada jamani anayejua dawa ya mtoto kutoka udenda

    Hujaeleza vya kutosha.. Japo itaisha yenyewe..lakin vp kuhusu makuzi yake, ameanza kukaa chini lini? Kutembea lini? Kifupi anapata maendeleo yake kimakuzi kwa umri kama ilivyo kawaida au anachelewa sana? Ili uone kama kuna tatizo la ziada.
Back
Top Bottom