Mtu mwenye DDE PCB anaweza pata MD au Nursing degree?

Mtu mwenye DDE PCB anaweza pata MD au Nursing degree?

nahisi waweza pata DDS, ded NURSING, MD inategemea.

##ingia kwenye mitandao uangalie cutpoint za vyuo kama husika kama imtu, st. Fransic ifakara
 
Mkuu Waliyoyaongea Hao Jamaa Ni Swa!
Mimi Rafiki Yangu Ana BCD za Mwaka 2015 na Alipoapply Chuo Mara hii System imegoma Kumdahili Kaambiwa Hana Sifa Coz Matokeo iliyomletea ni DEF.
Kwamaana Hiyo Ukiingiza Tu Index Namba Yako ya F6 system inaconvert Credits Zako Kutokana na Marks Zako Ulizopata! Nahisi System imesetiwa Kwa Marks na Wala Si Points.
Ndiyomaana Wengine B huwa C, ila wengine B huwa D.
Mbona mkuu kuna jamaa alikuwa na EEE 2016 lkn imemkubali
 
Mkuu Waliyoyaongea Hao Jamaa Ni Swa!
Mimi Rafiki Yangu Ana BCD za Mwaka 2015 na Alipoapply Chuo Mara hii System imegoma Kumdahili Kaambiwa Hana Sifa Coz Matokeo iliyomletea ni DEF.
Kwamaana Hiyo Ukiingiza Tu Index Namba Yako ya F6 system inaconvert Credits Zako Kutokana na Marks Zako Ulizopata! Nahisi System imesetiwa Kwa Marks na Wala Si Points.
Ndiyomaana Wengine B huwa C, ila wengine B huwa D.
sasa wewe tunganye ata muuza mahindi anakata hii yaani BCD anakataliwa
 
Hivi unajibu kwa mazoea au nini? Kama B+ ni sawa na C, je A ya BRN ni sawa na nini?

Tcu wamesema B ya brn ni sawa na point 3 na
C ya 2016 ni sawa na point 3 pia.
Punguza ndoto za saa 7 mchana mkuu
Sawa TCU wamesema ila dogo ngoja nkuelekeze.

2015
C 40 -50.

B- 51-60.

B+ 61 -74.

Okey
2016
E 40-50
D 51 -60
C 61-70
B 71-74.
A 75-100

Najua wewe pia ni mhanga wa BRN na kwa taarifa ako wamesema BRN lazima awe na CC ila tambua C ya BRN sawa E ya 2016.
 
Mbona mkuu kuna jamaa alikuwa na EEE 2016 lkn imemkubali
EEE amekubaliwa kivipiii mnazengua kinoma usiandike kwa kujifurahishaaaa bhana,
 
diploma kwa cheti cha advance wapi tena

Hebu Acha Ubishi ↑↑↑↑↑↑ Katafute Chuo Ukasome Diploma Kabla Haijawa Too Late! Umesikia Wa Advance Diploma Hawatakiwi au?


Kampala, kairuki na st Joseph unapata tu mkuu

Inategemea na vyuo ulivyochagua

Kama umechagua Muhimbili,KCMC,UDOM,CUHAS etc unaweza pata shida

Ila kama umechagua KIU,HKMU ,,fasta sana kanunue clinical coat


Note: Kama umeomba vyuo vyenye competition kama muhas, cuhas, kcmc, ajuco na udsm. Hapo jua MD ilikupenda ila imependa wengine zaidi.

Ila kama umeomba vyuo kama kampala, kairuki na St Joseph, hapo anza kuandaa laptop na kama dogo fulani alivyosema kwenye thread fulani hivi

Na Nyinyi ↑↑↑↑↑↑ Musimpe False Hope Huyo Dogo! Mara hii Hakuna MD ya DDE Kwani Hata Hapo Munapo Padharau AJUCO basi Maelfu ya Watu Marahii Wamepavamia Kwa Makundi Kuizidi Admission Capacity iliyotolewa! Na Wametusua Kuliko Huyo Dogo Kwa Mfano CDD, CCD, CDE, CCE hao wote Wameeka First Priority Baada Ya Kuzikwepa MUHAS na UDSM Kutokana na Kushindwa Kuzifikia Zile Cut off Points Zao Za Points 8 na 7.

Kwahiyo Mshaurini Dogo Kama Ana Ndoto Za MD basi Aende Diploma Akatusue ≥ 3.5
 
Nijibu tena A ya brn ni sawa na ngapi mwaka 2016?
Kwa hiyo hakuna Brn aliepata exactly A ya 80-100?.
Tcu ameshajibu maswali kama haya mkuu
Wew subiri iyo ofa ulioipata ww BRN uende chuo ila ungehtm mwaka huu ucngepata ata prncples
 
Sawa TCU wamesema ila dogo ngoja nkuelekeze.

2015
C 40 -50.

B- 51-60.

B+ 61 -74.

Okey
2016
E 40-50
D 51 -60
C 61-70
B 71-74.
A 75-100

Najua wewe pia ni mhanga wa BRN na kwa taarifa ako wamesema BRN lazima awe na CC ila tambua C ya BRN sawa E ya 2016.
iyo kweli point, sasa mkuu kama hawa wa BRN wanaruhusiwa wa apply degree sasa ivi kwa minimum C mbili na iyo C ni sawasawa na E 2016, sasa mbona tcu wanagoma E za 2016??????
 
Sawa TCU wamesema ila dogo ngoja nkuelekeze.

2015
C 40 -50.

B- 51-60.

B+ 61 -74.

Okey
2016
E 40-50
D 51 -60
C 61-70
B 71-74.
A 75-100

Najua wewe pia ni mhanga wa BRN na kwa taarifa ako wamesema BRN lazima awe na CC ila tambua C ya BRN sawa E ya 2016.
Hizi grade sio sahihi kwanza. Fatilia basi uone hata grade zilivyo.
 
Hizi grade sio sahihi kwanza. Fatilia basi uone hata grade zilivyo.
Ngoja nikupe quiz....

Hebu tusaidie kumpa grades huyu mtahiniwa kwa mwaka 2015 na 2016.....

P-67
C-68
M-59
Alafu mwisho utajua kwanin tunakukazia hvyo.....
BRN ilikuwa ofa ya mpito ndugu sasa ni msuli tu kwa kwenda mbele
 
hiyo division three kipindi cha JAKAYA umefaulu vizuri ila hiki cha MAGU umefeli labda uende EDUCATION hadi mkopo utapewa maana walimu wa sayansi ni nadra sana ila ukiendelea kubisha tunachokushauri ndo utapoteza kabisaa
 
sasa wewe tunganye ata muuza mahindi anakata hii yaani BCD anakataliwa
Bwana mdogo huo ni ukweli mtupu wala hajadanganya....kwa mwaka huu mwenye BCD ya BRN sisi TCU hatutaki hata ile 50,000 yake maana hatufai
 
hiyo division three kipindi cha JAKAYA umefaulu vizuri ila hiki cha MAGU umefeli labda uende EDUCATION hadi mkopo utapewa maana walimu wa sayansi ni nadra sana ila ukiendelea kubisha tunachokushauri ndo utapoteza kabisaa
Duuh unajua kubet mkuu, upo vizuri sana. Nani alikwambia nina division three? Na hawa wenye division three ya 15 ya DDF kwa magu kwa hiyo wamefeli sn sio na hawendi chuo?
 
DDF na DDE ipi yenye uzito? japokuwa zote zna D. mm naona DDF ndio bora kama general study umetusuaaa fresh[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
EEE amekubaliwa kivipiii mnazengua kinoma usiandike kwa kujifurahishaaaa bhana,
Usibishe ukweli mkuu mimi ndie nliyekuwa naye na aliprint kabisa tatizo linakuja kwamba kapoteza elfu 50 yake kwa sababu TCU itamkataa kwaiyo usipende kuwa mbishi katika kitu ambacho hukijui
 
Usibishe ukweli mkuu mimi ndie nliyekuwa naye na aliprint kabisa tatizo linakuja kwamba kapoteza elfu 50 yake kwa sababu TCU itamkataa kwaiyo usipende kuwa mbishi katika kitu ambacho hukijui
bas imekula kwake
 
mm naona kuwe na matabaka wa vyeti vya o level na advance ku apply diplo, utakuta mtu katusua advance D,E,E, tena PCB alafu unakuja kumueka group moja na form four. huu ni ukudaaaa kudadadekiiii
 
Back
Top Bottom