Wameteuliwa wengi leo vp hao wengine mnawafahamu au mnamsakama Kamoga tu? Ama kweli sisi watanzania hatujui tunachokitaka aisee kwanza mtu anaenda kuwa DED mbulu huku ww wa Dar au Dodoma au Arusha au morogoro inakuhusu nini na utendaji wake dah aliyeturoga ameshakufa aisee!!!!