Nashukuru kwa dawaTiba yake ni asali,anatakiwa amlambishe asali mara kwa mara ni dawa nzuri sana.
Ninachojua mimi kuna chukua kipande cha ngulu yule samaki mwenye chumvi nyingi kipande kile kipitishe kwenye mdomo i mean kwenye udenda halafu mpe mjomba ake ale basi udenda utakua umekatika N.B lazima awe mjomba wake asipojua nu vizuri
Haha hiyo hata kwenye bakuli ya mboga atakayotumia mjomba kuchovya ugali ila mjomba asijue.Ninachojua mimi kuna chukua kipande cha ngulu yule samaki mwenye chumvi nyingi kipande kile kipitishe kwenye mdomo i mean kwenye udenda halafu mpe mjomba ake ale basi udenda utakua umekatika N.B lazima awe mjomba wake asipojua nu vizuri
Inataka moyo aisei ..!mjomba yake atafutwe alambe udenda wake atapona, mm mtoto wa dada yangu alikuwa na tatizo hilo nikalamba udenda wake ukakata kabisa, na hata mm mwenyewe nilikuwa na ugonjwa huo udogoni ila mjomba yangu alivyolamba udenda wangu na mimi nikapona
inategemea kama mtoto bado mchanga mchanga unalamba sema kama mkubwa ndo inakuwa mtihaniInataka moyo aisei ..!
Chukua majani ya koma manga, pilipili hoho, nyanya chungu, mchongoma, mwarobaini, pilipili kichaa, ndimu na mizizi ya mti wa ukwaju changanyaKuna mtu wa kike wa rafiki yangu ana miaka mitatu yapo na tatizo la kutokwa na udenda mdomoni,
Naombeni tumshauri tiba yake