Mtu mwenye DDE PCB anaweza pata MD au Nursing degree?

Mtu mwenye DDE PCB anaweza pata MD au Nursing degree?

Msipende saana njia fupi kama mambo hayajakaa vizuri!! Mfn mm nilichukua diploma, nikapiga kazi kwa muda na sasa nachukua MD, fedha za mkopo na mshahara vyote vinanihusu.. Team no stress.
 
mm naona kuwe na matabaka wa vyeti vya o level na advance ku apply diplo, utakuta mtu katusua advance D,E,E, tena PCB alafu unakuja kumueka group moja na form four. huu ni ukudaaaa kudadadekiiii

Tatizo Lenu Nyie Madogo Hamupendi Kuuliza Mukajifunza Bali Munajihisi Wajanja Kukariri Mambo Ya Vijiweni!

Nani Aliyekwambia F4 anaekwa Level moja na F6?
Jambo Hilo Katu Haliwezi Kutokea Katika Sayari hii hasa utawala Huu wa Magu.

Sasa Nikwbie Mimi Pia Ni Mdau Wa Diploma niliyeomba Chuo!
Na Unapojaza Taarifa Zako Katika Mfumo Wa CAS, basi System inakuuliza Je Umemaliza F6? Ukijibu YES basi system inakwambia Uandike Index No yako ya Advance.
Na ukiiandika Tu Matokeo Yako Ya Advance Yanakuja.

Sasa Ukweli Ni Kwamba Hata Kama Nyote Ni DIPLOMA lakini Kama Una GPA ya 3.5 na Pass Mbili Za DDE (PCB) za F6 basi Kwenye Ushindani Wa Kuingia Chuo Utambwaga Aliyeishia F4 na GPA ya 4.5


Hebu ona Hapa Chini System Ya CAS inavyochukua Matokeo Ya F6.
↓↓↓↓↓↓↓↓

Screenshot_2016-09-08-11-46-04.png
 
Tatizo Lenu Nyie Madogo Hamupendi Kuuliza Mukajifunza Bali Munajihisi Wajanja Kukariri Mambo Ya Vijiweni!

Nani Aliyekwambia F4 anaekwa Level moja na F6?
Jambo Hilo Katu Haliwezi Kutokea Katika Sayari hii hasa utawala Huu wa Magu.

Sasa Nikwbie Mimi Pia Ni Mdau Wa Diploma niliyeomba Chuo!
Na Unapojaza Taarifa Zako Katika Mfumo Wa CAS, basi System inakuuliza Je Umemaliza F6? Ukijibu YES basi system inakwambia Uandike Index No yako ya Advance.
Na ukiiandika Tu Matokeo Yako Ya Advance Yanakuja.

Sasa Ukweli Ni Kwamba Hata Kama Nyote Ni DIPLOMA lakini Kama Una GPA ya 3.5 na Pass Mbili Za DDE (PCB) za F6 basi Kwenye Ushindani Wa Kuingia Chuo Utambwaga Aliyeishia F4 na GPA ya 4.5


Hebu ona Hapa Chini System Ya CAS inavyochukua Matokeo Ya F6.
↓↓↓↓↓↓↓↓

View attachment 396176
kaka apo umenena , kumbe ndio ivyo, ahxante kwa kutufahamisha
 
MD..Omba lakini mbona umechelewa.? Ila jaribu AJCO na CUHAS au habart kailuk.Ila Government ni ngumu kwa matokeo hayo. Pia hata nursing degree ni kozi nzuri omba.
 
Poa mkuu japo kunae watu wanasema nitaweza kukosa kutokana na ushindani. Lakin nina imani nitapata tuu
moyo bhana unaimani kweli, mm na D mbili cikuwacha apply ualimu...... sasa kama uliweka five choises zote md, upo wap ready nijiandae kukufuata na ambulance
 
DDF na DDE ipi yenye uzito? japokuwa zote zna D. mm naona DDF ndio bora kama general study umetusuaaa fresh[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
hawa wote vyuo watapata bt itategemea vyuo gan wameomba the fact wana point 4 wote
 
Back
Top Bottom