Unajua watanzania atuna uwezo wa kuongea yanayo tuuma nandio mahana tunaishia kurumba f nipese ngapi zimetumika kupata rasimu ya wananchi wakati hiliwezekana kabisa kuandikia bungeni hinamahanisha watanzani awana akiri turikuwa tunapimwa tuna nn kichwani lakini tayar tanzania himepata hufa...
Sikuwai kuckia yahani katiba imefanya wajinga waonekane hivi ayamaneno ya kidini yanakujaje huisilamu na ukristo tuache ujinga kama ninjaa turudi tukalime acheni uchafu huo ss sote ni ndugu,
Naitwa Wilson nimeipenda Gari yako lakini sina hiyo pesa lakini naweza kufanyia kazi na ndani ya miezi minne nika kupa 7ml keshi tukiweka mkataba mzuri,
Mm ni dereva uwanapata wateja wengi sana na nawapereka be forward kinacho niuzi uwa awatujari watu tunao wapelekea wateja kingine ghalama zao zipo juu sana colora maajenti wote wanafanya usd 250 lakini wao wanafanya 280 wateja wanatukimbia wajitaidi kuboresha mambo yawekama wenzao,
(Tanganyika ikowapi) jamani kama timeweza kuisahau Tanganyika yetu waowanashindwa nn kwani nn mahana ya Zanzibar tucwe watumwa wa hakili kama Tanganyika tumekubari kwann waowashindwe tunataka selekari moja kama akuna tuvunje muungano,
Mnajua acheni mambo yenu hivi kweri ccm mmeshindwa maridhiano kweri mwisho yakitokea matatizo mtarudi nyuma na kusema ukawa kama baba ukishindwa kuwanyosha watoto wako utakuwa baba waaina gani utakuwa baba feki,
Nawapongeza sana ITV lakini nazani kikwazo kiponjiani kwani leo nimemckia sita anajaribu kuwavuruga ss cjui itakuaje tucjekukosa mambo kwani wengine atuyajui kiundani na midaaro ndioinatusaidia kuwajua nani muhuni,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.