Recent content by wilson simuchimba

  1. W

    Peter Kibatala: Rasimu ya Warioba ni Sheria

    Unajua watanzania atuna uwezo wa kuongea yanayo tuuma nandio mahana tunaishia kurumba f nipese ngapi zimetumika kupata rasimu ya wananchi wakati hiliwezekana kabisa kuandikia bungeni hinamahanisha watanzani awana akiri turikuwa tunapimwa tuna nn kichwani lakini tayar tanzania himepata hufa...
  2. W

    Waislamu Msikubali utapeli huu wa Kisiasa( Angalia Danganya toto iliowekwa ndani ya Rasimu ya CCM)

    Umepata faida gani kunitukana unajua kwanza ww simuhiclamu alihisilamu nadhifu ww ni gaidi hunae jipandikiza huisilamu huna kisomo ndio mahana ujuhi ataunacho pigania unafuata magaidi wenzako anapakatwa mama yako mzazi mbuguma we,
  3. W

    Mahakama ya kadhi

    Sikuwai kuckia yahani katiba imefanya wajinga waonekane hivi ayamaneno ya kidini yanakujaje huisilamu na ukristo tuache ujinga kama ninjaa turudi tukalime acheni uchafu huo ss sote ni ndugu,
  4. W

    Waislamu Msikubali utapeli huu wa Kisiasa( Angalia Danganya toto iliowekwa ndani ya Rasimu ya CCM)

    Jamani naomba msahada mahakama ya kadhi tafanya kazi gani kwa waisilamu na nn hasa kazi take,
  5. W

    Toyota vitz inauzwa.

    Sija kupata
  6. W

    Toyota vitz inauzwa.

    Namba yangu 0712742291
  7. W

    Toyota vitz inauzwa.

    Naitwa Wilson nimeipenda Gari yako lakini sina hiyo pesa lakini naweza kufanyia kazi na ndani ya miezi minne nika kupa 7ml keshi tukiweka mkataba mzuri,
  8. W

    Be Forward Tanzania as a Clearing Agent

    Mm ni dereva uwanapata wateja wengi sana na nawapereka be forward kinacho niuzi uwa awatujari watu tunao wapelekea wateja kingine ghalama zao zipo juu sana colora maajenti wote wanafanya usd 250 lakini wao wanafanya 280 wateja wanatukimbia wajitaidi kuboresha mambo yawekama wenzao,
  9. W

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    (Tanganyika ikowapi) jamani kama timeweza kuisahau Tanganyika yetu waowanashindwa nn kwani nn mahana ya Zanzibar tucwe watumwa wa hakili kama Tanganyika tumekubari kwann waowashindwe tunataka selekari moja kama akuna tuvunje muungano,
  10. W

    Bunge kuingia siku yake ya pili leo likijadili Rasimu ya katiba kwenye kamati.

    Mnajua acheni mambo yenu hivi kweri ccm mmeshindwa maridhiano kweri mwisho yakitokea matatizo mtarudi nyuma na kusema ukawa kama baba ukishindwa kuwanyosha watoto wako utakuwa baba waaina gani utakuwa baba feki,
  11. W

    Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

    Namuamini sana zitto,
  12. W

    Asante sana IPP Media - ITV, Radio one, Capital radio

    Nawapongeza sana ITV lakini nazani kikwazo kiponjiani kwani leo nimemckia sita anajaribu kuwavuruga ss cjui itakuaje tucjekukosa mambo kwani wengine atuyajui kiundani na midaaro ndioinatusaidia kuwajua nani muhuni,
Back
Top Bottom