Granta
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,082
- 6,421
Waislamu huwa tunauzana wenyewe kwa wenyewe.
Kesho atatafutwa mkristo wa kutupiwa lawama hakikosekana atasemwa Nyerere.
Kina Kundecha kimyaaaa baada ya kujazwa posho, Profesa Njovu aliandika mpaka kitabu kujifanya ana uchungu na dini, leo yupo wapi??
Unafiki umetamalaki sana kati ya waislam